miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,975
ha haha basi nikae kimya joketi ni mbaya sanaHili vazi jokate sijui alifikiria nini yaani ubunifu wa kiwango cha 4G
View attachment 430368
ha haha basi nikae kimya joketi ni mbaya sanaHili vazi jokate sijui alifikiria nini yaani ubunifu wa kiwango cha 4G
View attachment 430368
Ishakua nongwa?Kwann asingemwambia tu, si analala naye? Au hadi tusome ujinga wake?
Asipo andika mitandaoni,kuna watu watamponda pia kuwa hata hajamsifia mpenzi wake kwa alichokifanyaKwann asingemwambia tu, si analala naye? Au hadi tusome ujinga wake?
Wanamsifia kinafki. Yani angekua ndo bwana angu ata kumtambulisha kwa marafiki sitaki. Nguo gani hyoKumsifia kimuziki ana ruhusiwa lakini kama ni yeye ndio alimvalisha kile kinguo, kilikuwa ni kibaya jamani. Yaani Mungu anamuona.
*hasa kuna watu utashangaa wanamsifia wanasema alipendeza! Hebu kuweni siriaz
Anaishi mkoani hukoKwan huyo fiesta anaishi wapi!!!!???
Mkoa gan huo ???Anaishi mkoani huko
MhKumsifia kimuziki ana ruhusiwa lakini kama ni yeye ndio alimvalisha kile kinguo, kilikuwa ni kibaya jamani. Yaani Mungu anamuona.
*hasa kuna watu utashangaa wanamsifia wanasema alipendeza! Hebu kuweni siriaz
Ati kibamiami nadhani kibamia atafanya vizuri zaidi watu wakiacha kumpaka machupa kwa mgongo wa futa.
sawa kiba mekumiss piaHaaaa
Nimekumis nataka uwe jokate wangu
HahahaaaWanamsifia kinafki. Yani angekua ndo bwana angu ata kumtambulisha kwa marafiki sitaki. Nguo gani hyo
sawa kiba mekumiss pia
sawa kiba mekumiss pia
Ilikua ni setting nilikua natumia ya tigo badala ya halotel ndio mana nilikua najionea madesa
Ntandao ulisumbua tena nini maana ulipotea jojo wangu