Joint venture share 50/50 on receiving rent

Joint venture share 50/50 on receiving rent

survivor03

Senior Member
Joined
Jan 10, 2012
Posts
131
Reaction score
21
Wakuu mambo vipi, mimi nina nyumba yangu ya kawaida yenye vyumba 11 na 2 baths iko simple ina uwa mkubwa kwa issue zengine.. kodi ninayo pata ni ndogo ss nilikuwa natafuta waungwana watakopenda tuingie joint venture kwa kuirekebisha vizuri ili tupate kuipangisha kwa kodi ya juu kidogo halafu kodi tutagawana nusu kwa nusu mpaka itapofikia kiwango tulichokubaliana. Nyumba iko maeneo ya Tuamoyo Kigamboni karibu na maeneo ya Mikadi Beach. Wakuu naombeni msaada wenu juu ya hii issue, ahsanteni. tuwasiliane kwa: PM, mobile +255715388666,email: mohdnass3@gmail.com.
 
nami nna shida kama yako, ila mimi nna kiwanja nataka kujenga nyumba na hela ya kujengea sina, unaonaje tukachukua hati yako ya nyumba ili tupate mkopo benki kisha nikishajenga nyumba yangu ntapangisha na kodi yote ntakupa wewe ufanye ukarabati wako?
 
Ukarabati wote wa vyumba unaweza ukagharimu kama kiasi gani?
embu watembelee jamaa wa KCB Bank au CRDB wanatoa mikopo kwa ajili ya ukarabati wa nyumba. Jitahidi uwa wahi jamaa wa CRDB kwani wame launch product yao juzijuzi tu bado haiajapoa (inaitwa Jijenge).
Wakuu mambo vipi, mimi nina nyumba yangu ya kawaida yenye vyumba 11 na 2 baths iko simple ina uwa mkubwa kwa issue zengine.. kodi ninayo pata ni ndogo ss nilikuwa natafuta waungwana watakopenda tuingie joint venture kwa kuirekebisha vizuri ili tupate kuipangisha kwa kodi ya juu kidogo halafu kodi tutagawana nusu kwa nusu mpaka itapofikia kiwango tulichokubaliana. Nyumba iko maeneo ya Tuamoyo Kigamboni karibu na maeneo ya Mikadi Beach. Wakuu naombeni msaada wenu juu ya hii issue, ahsanteni. tuwasiliane kwa: PM, mobile +255715388666,email: mohdnass3@gmail.com.
 
Ni kosa moja kubwa sana kukopesha kwa kuangalia dhamana, ukopeshaji unatakiwa uangalie repayment ability ya borrower!
nami nna shida kama yako, ila mimi nna kiwanja nataka kujenga nyumba na hela ya kujengea sina, unaonaje tukachukua hati yako ya nyumba ili tupate mkopo benki kisha nikishajenga nyumba yangu ntapangisha na kodi yote ntakupa wewe ufanye ukarabati wako?
 
Back
Top Bottom