JOHN TENDWA vs SAMWEL KIVUITU (KENYA ECK CHAIRMAN 2007)

Warue

JF-Expert Member
Aug 9, 2012
423
809
Jamani naomba wale wote waliokwepo wakati wa uchaguzi wa kenya 2007 waniambie tofauti kati ya anayoyafanya John Tendwa wetu na Samwel Kivuitu aliyekuwa mwekiti wa tuma ya uchaguzi kenya mwaka 2007. Kivuitu alionyesha wazi jinsi vyama vinavyotawala vinavyoweza ku manipulate matokeo ya uchaguchaguzi kwa kufuata maagizo ya waliowateua. Tendwa kwa sasa anatishia kuifuta chadema kisa polisi wanaua wakati wa mikutano yao. Hivi ni haki ya Tendwa kujitokeza kuitetea CCM wanaposhindwa kujibu mapigo?
Nawasilisha.
 
Jamani naomba wale wote waliokwepo wakati wa uchaguzi wa kenya 2007 waniambie tofauti kati ya anayoyafanya John Tendwa wetu na Samwel Kivuitu aliyekuwa mwekiti wa tuma ya uchaguzi kenya mwaka 2007. Kivuitu alionyesha wazi jinsi vyama vinavyotawala vinavyoweza ku manipulate matokeo ya uchaguchaguzi kwa kufuata maagizo ya waliowateua. Tendwa kwa sasa anatishia kuifuta chadema kisa polisi wanaua wakati wa mikutano yao. Hivi ni haki ya Tendwa kujitokeza kuitetea CCM wanaposhindwa kujibu mapigo?
Nawasilisha.

Elewa kwamba tendwa anakadi ya chama cha mapinduzi hivyo yupo pale kukitetea chama chake kisianguke isingekuwa hivyo bac ningejumuisha kuwa ni pandikizi
 
Ndio maana tunahitaji katiba mpya ambayo itaweka wazi mipaka ya hii kitu.jiulize TENDWA na KIVUITU wanawajibika kwa nani?who are their employers?Then consider their positions.Same to DPP,TISS,TAKUKURU and many more.these structeres need to well defined and differentiated,must have own source of income and fully independent for them to deliver beyond our expectations.otherwise hata akae nani things will never change.TUJITOKEZE KUTOA MAONI JUU YA KATIBA MPYA.
 
Siku hizi haitwi tena msajili wa vyama vya siasa bali anaitwa bwana "kifutio".

Refer makala ya bwana makengeza ya jumapili
 
Ni wazi kuwa CCM hawakuwahi kukubali kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi, na bado hawakubali hata sasa.

Pengine Mwl. Nyerere alikuwa too powerful wakakubali lakini sio kwamba waliukabli mfumo wenyewe bali hawakuwa na hoja wala ubavu kumpinga Mwl. Nyerere. Matendo yao toka awali yanaonesha hivyo
 
Jamani naomba wale wote waliokwepo wakati wa uchaguzi wa kenya 2007 waniambie tofauti kati ya anayoyafanya John Tendwa wetu na Samwel Kivuitu aliyekuwa mwekiti wa tuma ya uchaguzi kenya mwaka 2007. Kivuitu alionyesha wazi jinsi vyama vinavyotawala vinavyoweza ku manipulate matokeo ya uchaguchaguzi kwa kufuata maagizo ya waliowateua. Tendwa kwa sasa anatishia kuifuta chadema kisa polisi wanaua wakati wa mikutano yao. Hivi ni haki ya Tendwa kujitokeza kuitetea CCM wanaposhindwa kujibu mapigo?
Nawasilisha.
Tendwa hana tafauti na Ndugu yake wa TBC1. Anajikomba ili asikose pesa ya "ULABU"
 
Tendwa hana tafauti na Ndugu yake wa TBC1. Anajikomba ili asikose pesa ya "ULABU"

Hapo umepatia, wanakiuka maadili na kukufuru taalama zao kwa kisingizio cha kufatafuta "hela ya kula". Huu ni ujuha wa kiwango cha juu, tofauti yake na kibaka au changudoa ni scale ya utendaji tu. Kibaka anapokwapua ama changudoa anapojiuza kisingizio kikuu ni kutafuta "hela ya kula". Kimsingi hiki ni kisingizio dhaifu sana na inaonyesha kiwango cha chini sana cha kufikiri na hatari ya kiarusi kinachonyemelea ubongo ambacho huzalisha fikra mfu.

KBC iliwahi kuwa na ushabiki kwa watu waliowateua, waliishabikia KANU na kusahau wao ni chombo cha habari cha taifa. Walipoona KANU inaelekea kushindwa wakazinduka nakujifanya ni mabingwa wa level ground. Sijui kama walifanikiwa kulinda hiyo "hela ya kula" baada ya mteuzi mwingine kuingia madarakani!!!
 
Miaka michache hapo nyuma Tendwa aliwahi kutaka kujipambanua kama msajiri na refa wa vyama vya siasa kuhakikisha rules of the game vinafuatwa. Nakumbuka aliwahi kuikoromea CCM. Omar Mapuri (nafikiri alikuwa katibu wa itikadi na uenezi wa CCM by then) "alimtukana" Tendwa kuwa ni katibu muhtasi tu hana zaidi ya hilo.

Tendwa tangu hapo aliufyata ili kutetea kitumbua chake. Matokeo yake amegeuka kibaraka na CCM wamemgeuza "nyau" wakutishia watoto na hata hivyo kachupa mipaka anaanza kutisha hata wakubwa
 
Jamani naomba wale wote waliokwepo wakati wa uchaguzi wa kenya 2007 waniambie tofauti kati ya anayoyafanya John Tendwa wetu na Samwel Kivuitu aliyekuwa mwekiti wa tuma ya uchaguzi kenya mwaka 2007. Kivuitu alionyesha wazi jinsi vyama vinavyotawala vinavyoweza ku manipulate matokeo ya uchaguchaguzi kwa kufuata maagizo ya waliowateua. Tendwa kwa sasa anatishia kuifuta chadema kisa polisi wanaua wakati wa mikutano yao. Hivi ni haki ya Tendwa kujitokeza kuitetea CCM wanaposhindwa kujibu mapigo?
Nawasilisha.

Mkuu ... umechanganya mambo hapa ... Kivuitu ni ECK (Election Commission of Kenya) na Tendwa ni Registrar of Political Parties

Edit and present the right comparison
 
Mkuu ... umechanganya mambo hapa ... Kivuitu ni ECK (Election Commission of Kenya) na Tendwa ni Registrar of Political Parties

Edit and present the right comparison

We dont compare peoples positions but the away they allow their positions to be manipulated by the leading parties. Extend ua understanding pls.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom