infantrier
JF-Expert Member
- Jan 1, 2013
- 343
- 126
Kumbe Magige ndio John! Nilikuwa sijapata picha.
R.I.P Magige
Poleni sana familia ya Nyerere, John alikuwa rafiki wa wote hata watoto wadogo walimpenda John. Binafsi alinifundisha karate katika viwanja vya Ikulu nikiwa kijana mdogo sana. Sina mengi sana ya kusema zaidi ya kukuombea pumziko jema la milele pia nakupa pole Petro rafiki yangu wa utotoni kwa kufiwa na baba yako mzazi
Mimi naona mnanichanganya na haya majina,naomba mwenye uelewa atuwekee majina ya watoto wa Mwalimu J K NYERERE kuanzia mtoto wa kwanza hadi wa mwisho kwa majina yao ya kikristo na kiasili mfano kama Rosemary Boke Nyerere.
Hivi babaake John Nyerere kafia wapi vile?
Poleni wafiwa. nadhani ni huyo katikati kwenye picha.
Uko sawa mkuu hata mimi nilikuwa sifahamu jina la John, nilikuwa nafahamu jina la Magige, ni vizuri kwa anayefahamu majina ya watoto wote wa mwalimu atuwekee.
poleni wafiwa
Poleni wafiwa. nadhani ni huyo katikati kwenye picha.
Nakubaliana na wewe huu ni wakati wa kumuombea marehemu apumzike kwa amani na kuwatakia wafiwa wapate nguvu na utulivu kwa kuondokewa na ndugu yao.
Mambo ya usalama hayanihusu kama wanafanya kazi yao vizuri au la ila nachojua Taifa liko salama. Tusiwape lawama maana hawana uwezo kisheria kumfunga mtu jela na Polisi nao pia hawana uwezo huo.
My friend let's agree we are visitors when time cames we go where we belong. So my dear friend John rest in piece as your time has come. Amen
Mhhhh huyu mwenye midomo iliyoungua huyu