onjwayo JF-Expert Member Joined Apr 8, 2020 Posts 1,417 Reaction score 1,393 Jun 4, 2025 #21 Mrema na wenzake walioleft Chadema nadhani tayari wamejitathimini na kuona kuwa wao walikuwa vifungashio tu pale chadema
Mrema na wenzake walioleft Chadema nadhani tayari wamejitathimini na kuona kuwa wao walikuwa vifungashio tu pale chadema
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 44,888 Reaction score 132,785 Jun 4, 2025 #22 Ngurukia said: Jamaa ukimuangalia tu anaonekana bogus. Ana sura ya kuuza kitimoto na mtori, sio siasa. Click to expand... Mweh!
Ngurukia said: Jamaa ukimuangalia tu anaonekana bogus. Ana sura ya kuuza kitimoto na mtori, sio siasa. Click to expand... Mweh!
Chibolo JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 5,768 Reaction score 8,041 Jun 4, 2025 #23 Kwakweli nafasi yake ya ukurushenzi wa habari ndani ya CHAUMA imepwaya bora apewe yule mama wa mrimba nimemsahau kwa jina jana nilimuona Mwanza akijitahidi kupigua debe ubwabwa
Kwakweli nafasi yake ya ukurushenzi wa habari ndani ya CHAUMA imepwaya bora apewe yule mama wa mrimba nimemsahau kwa jina jana nilimuona Mwanza akijitahidi kupigua debe ubwabwa
M missongika JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 463 Reaction score 657 Jun 4, 2025 #24 Wajitathini mapema kabla ya kuanza kazi ya kuchukua nafasi ya kuwa chama kikuu cha upinzani.