PostGE2025 John Mrema amerejea rasmi, asema swali kuu la kujiuliza kama taifa tulijikwaa wapi?

PostGE2025 John Mrema amerejea rasmi, asema swali kuu la kujiuliza kama taifa tulijikwaa wapi?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Wakuu

Ni muda kidogo sikuwasikia hawa jamaa wa CHAUMMA hadi nikawa najiuliza wameamua kula mafao baada ya kukifanya walichokifanya baada ya kuhamia huko, ila kumbe walikuwa likizo bhana.

John Mrema kupitia ukurasa wake wa X ameandika haya na kuahidi atarudi na mengine mengi zaidi ila cha kushangaza aefunga comment😂😂

===

Namshukuru Mungu nimemaliza likizo yangu ya siku 30 jana tarehe 29 Novemba,2025 ambayo niliisnza tarehe 29 Octoba mwska huu . Nimefanya tafakuri ya kina ya kilichotokea na kinachoendelea kutokea nchini .

Kuna swali kuu la kujiuliza kama taifa TULIJIKWAA WAPI? Ni maoni yangu kuwa tulipozuia siasa za vyama mwaka 2015 ndipo tulizalisha WANAHARAKATI hawa wa leo ambao GN-Z ambao walikuwa na miaka 8 ya kuzaliwa ,leo ndio wana miaka 18 na waliokuwa na 10 sasa wana 20 na wa 20 ndio wenye 30 leo .

Hawa walikuwa katika mazingira ya kusikia sauti ya upande mmoja (MAGUFULI) na kwa mbaali mtandaoni ndio walikuwa wanafuatilia space za WANAHARAKATI ......

Nilikuwa natafakari sana jambo hili na nitawashirikisha nilichojifunza na hasa kuhusu OMBWE HUJAZWA ..........." John Mrema, Nov 30, 2025
1764570780815.png
 
Wakuu

Ni muda kidogo sikuwasikia hawa jamaa wa CHAUMMA hadi nikawa najiuliza wameamua kula mafao baada ya kukifanya walichokifanya baada ya kuhamia huko, ila kumbe walikuwa likizo bhana.

John Mrema kupitia ukurasa wake wa X ameandika haya na kuahidi atarudi na mengine mengi zaidi ila cha kushangaza aefunga comment😂😂

===

Namshukuru Mungu nimemaliza likizo yangu ya siku 30 jana tarehe 29 Novemba,2025 ambayo niliisnza tarehe 29 Octoba mwska huu . Nimefanya tafakuri ya kina ya kilichotokea na kinachoendelea kutokea nchini .

Kuna swali kuu la kujiuliza kama taifa TULIJIKWAA WAPI? Ni maoni yangu kuwa tulipozuia siasa za vyama mwaka 2015 ndipo tulizalisha WANAHARAKATI hawa wa leo ambao GN-Z ambao walikuwa na miaka 8 ya kuzaliwa ,leo ndio wana miaka 18 na waliokuwa na 10 sasa wana 20 na wa 20 ndio wenye 30 leo .

Hawa walikuwa katika mazingira ya kusikia sauti ya upande mmoja (MAGUFULI) na kwa mbaali mtandaoni ndio walikuwa wanafuatilia space za WANAHARAKATI ......

Nilikuwa natafakari sana jambo hili na nitawashirikisha nilichojifunza na hasa kuhusu OMBWE HUJAZWA ..........." John Mrema, Nov 30, 2025
View attachment 3509818
Yap and he said the truth, watu waamue sasa which side they are serving?
 
Wakuu

Ni muda kidogo sikuwasikia hawa jamaa wa CHAUMMA hadi nikawa najiuliza wameamua kula mafao baada ya kukifanya walichokifanya baada ya kuhamia huko, ila kumbe walikuwa likizo bhana.

John Mrema kupitia ukurasa wake wa X ameandika haya na kuahidi atarudi na mengine mengi zaidi ila cha kushangaza aefunga comment😂😂

===

Namshukuru Mungu nimemaliza likizo yangu ya siku 30 jana tarehe 29 Novemba,2025 ambayo niliisnza tarehe 29 Octoba mwska huu . Nimefanya tafakuri ya kina ya kilichotokea na kinachoendelea kutokea nchini .

Kuna swali kuu la kujiuliza kama taifa TULIJIKWAA WAPI? Ni maoni yangu kuwa tulipozuia siasa za vyama mwaka 2015 ndipo tulizalisha WANAHARAKATI hawa wa leo ambao GN-Z ambao walikuwa na miaka 8 ya kuzaliwa ,leo ndio wana miaka 18 na waliokuwa na 10 sasa wana 20 na wa 20 ndio wenye 30 leo .

Hawa walikuwa katika mazingira ya kusikia sauti ya upande mmoja (MAGUFULI) na kwa mbaali mtandaoni ndio walikuwa wanafuatilia space za WANAHARAKATI ......

Nilikuwa natafakari sana jambo hili na nitawashirikisha nilichojifunza na hasa kuhusu OMBWE HUJAZWA ..........." John Mrema, Nov 30, 2025
View attachment 3509818
Tumejikwaa na tumefika hapa kutokana na usaliti,na ulafi kama ile wa watesi wa taifa hili na mfano wa wale g55.
 
Wakuu

Ni muda kidogo sikuwasikia hawa jamaa wa CHAUMMA hadi nikawa najiuliza wameamua kula mafao baada ya kukifanya walichokifanya baada ya kuhamia huko, ila kumbe walikuwa likizo bhana.

John Mrema kupitia ukurasa wake wa X ameandika haya na kuahidi atarudi na mengine mengi zaidi ila cha kushangaza aefunga comment😂😂

===

Namshukuru Mungu nimemaliza likizo yangu ya siku 30 jana tarehe 29 Novemba,2025 ambayo niliisnza tarehe 29 Octoba mwska huu . Nimefanya tafakuri ya kina ya kilichotokea na kinachoendelea kutokea nchini .

Kuna swali kuu la kujiuliza kama taifa TULIJIKWAA WAPI? Ni maoni yangu kuwa tulipozuia siasa za vyama mwaka 2015 ndipo tulizalisha WANAHARAKATI hawa wa leo ambao GN-Z ambao walikuwa na miaka 8 ya kuzaliwa ,leo ndio wana miaka 18 na waliokuwa na 10 sasa wana 20 na wa 20 ndio wenye 30 leo .

Hawa walikuwa katika mazingira ya kusikia sauti ya upande mmoja (MAGUFULI) na kwa mbaali mtandaoni ndio walikuwa wanafuatilia space za WANAHARAKATI ......

Nilikuwa natafakari sana jambo hili na nitawashirikisha nilichojifunza na hasa kuhusu OMBWE HUJAZWA ..........." John Mrema, Nov 30, 20P
Posho ya uchaguzi imekwisha
 
Wakuu

Ni muda kidogo sikuwasikia hawa jamaa wa CHAUMMA hadi nikawa najiuliza wameamua kula mafao baada ya kukifanya walichokifanya baada ya kuhamia huko, ila kumbe walikuwa likizo bhana.

John Mrema kupitia ukurasa wake wa X ameandika haya na kuahidi atarudi na mengine mengi zaidi ila cha kushangaza aefunga comment😂😂

===

Namshukuru Mungu nimemaliza likizo yangu ya siku 30 jana tarehe 29 Novemba,2025 ambayo niliisnza tarehe 29 Octoba mwska huu . Nimefanya tafakuri ya kina ya kilichotokea na kinachoendelea kutokea nchini .

Kuna swali kuu la kujiuliza kama taifa TULIJIKWAA WAPI? Ni maoni yangu kuwa tulipozuia siasa za vyama mwaka 2015 ndipo tulizalisha WANAHARAKATI hawa wa leo ambao GN-Z ambao walikuwa na miaka 8 ya kuzaliwa ,leo ndio wana miaka 18 na waliokuwa na 10 sasa wana 20 na wa 20 ndio wenye 30 leo .

Hawa walikuwa katika mazingira ya kusikia sauti ya upande mmoja (MAGUFULI) na kwa mbaali mtandaoni ndio walikuwa wanafuatilia space za WANAHARAKATI ......

Nilikuwa natafakari sana jambo hili na nitawashirikisha nilichojifunza na hasa kuhusu OMBWE HUJAZWA ..........." John Mrema, Nov 30, 2025
View attachment 3509818
Akwende zake huko mnafiki mkubwa huyu
 
Wanaanza kujirudisha kwa wananchi baada ya kugundua project CHAUMA imekufa, Hakuna serikali ya melseto na sio CHAUMA wala ACT imekua chama Kikuu cha Upinzani
CHADEMA imeendelea kuwa chama kikuu cha upinzani halafu hakina mbunge hata mmoja kwa chaguzi mbili sasa.

Hapo ndiyo utagundua siasa za Tanzania zimebadilika sana, siyo tena zile za kiini macho. Toka 2020, CCM imekuwa inashinda kila uchaguzi kuanzia uchaguzi mkuu hadi wa serikali za mitaa kwa zaidi ya 90% ila ndiyo ipo dhaifu kuliko wakati mwingine wowote katika historia yake.

Watanzania wapo katika uamsho.
 
Back
Top Bottom