Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Akizungumza na waandishi wa habari nje ya mahakama Agosti 18, 2025 Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika amewataka Wanachadema wengine kuendelea kufanya siasa ilimradi tu wasitumia mali za chama kwani zuio la kutokufanya siasa ni kwa katibu Mkuu na bodi ya wadhamini.
===
"Kitu kingine ambacho kimejitokeza bayana ni kwamba zuio la kufanya shughuli za siasa linahusu bodi ya wadhamini na katibu mkuu peke yake.
Kwa maneno mengine Wanachadema mna haki ya kuendelea kufanya shughuli za siasa maeneo mbalimbali, ilimradi katika kufanya shughuli hizoza siasa msitumie mali za chama kwahiyo mkifanya wenyewe huko kwa kujichangisha huko, kushirikiana huko endeleeni kufanya shughuli za kisiasa mpaka kieleweke" -John Mnyika
===
"Kitu kingine ambacho kimejitokeza bayana ni kwamba zuio la kufanya shughuli za siasa linahusu bodi ya wadhamini na katibu mkuu peke yake.
Kwa maneno mengine Wanachadema mna haki ya kuendelea kufanya shughuli za siasa maeneo mbalimbali, ilimradi katika kufanya shughuli hizoza siasa msitumie mali za chama kwahiyo mkifanya wenyewe huko kwa kujichangisha huko, kushirikiana huko endeleeni kufanya shughuli za kisiasa mpaka kieleweke" -John Mnyika