John Mnyika, mbunge wa CHADEMA amefika London

John Mnyika, mbunge wa CHADEMA amefika London

Mnyika alishaenda marekani akakaa kwa muda, UK kitu gani wabongo nyie kwa ushamba na ulimbukeni.
 
Wahehe jamii ya Lukosi hata kipindi kile Mkwawa anapigana na Wajerumani walikuwa upande wa Mkoloni so ucshangae haya ayafanyayo Chriss now
 
na yeye akapige picha mbele ya chopa halafu akaombe ambulance used kwa wabongo walio jichokea. Na chris mlisha mtibua sasa sijui nani atawasafirishia bure hayo makopo yenu .
Afadhali kamanda lema ameomba ambulance used kuliko kikwete alieomba toyo kwa wachina ndo ziwe ambulance kwa mama wajawazito....hivi masisiem akili zenu huwa zinakaa masaburini au??
 
Hivi yale maandamano anayohamasisha kamanda Mnyika ni lini tena?
Kila la kheri uko London
 
Ngoja nitoe ambulance nyingine
600

Used alizokopa JK deni hilo watalipa mpaka PANYA walioko kwao chilisosi na majebele ongeeni tu upuuzi humu jf wakati mnadaiwa,kila wakitoka waenda kukppa raslimali za nchi wananunua mahekali ughaibuni na kufanyia biashara ya mafuta,na Mtwara na Lindi wamepewa Wachina kwa kumkomboa Ritz nyie ropokeni tu wapumbavu nyie MSHAUZWA WOOTE NA MAMA ZENU PIA
 
Used alizokopa JK deni hilo watalipa mpaka PANYA walioko kwao chilisosi na majebele ongeeni tu upuuzi humu jf wakati mnadaiwa,kila wakitoka waenda kukppa raslimali za nchi wananunua mahekali ughaibuni na kufanyia biashara ya mafuta,na Mtwara na Lindi wamepewa Wachina kwa kumkomboa Ritz nyie ropokeni tu wapumbavu nyie MSHAUZWA WOOTE NA MAMA ZENU PIA

Mkuu ukimfukuza chizi, wewe ndo utaonekana una matatizo machoni pa jamii, hivyo basi ni vyema ukaachana nao wasubiri majibu ifikapo 2015; ndo watajua watanzania siyo vipofu.
 
na yeye akapige picha mbele ya chopa halafu akaombe ambulance used kwa wabongo walio jichokea. Na chris mlisha mtibua sasa sijui nani atawasafirishia bure hayo makopo yenu .

Bora anayeomba used ambulance kuliko anayekwenda kuhemea neti na bajaj kwa ajili ya kubeba akina mama wajawazito
 
Back
Top Bottom