John Mnyika kupitishwa kwa hila Ubungo

John Mnyika kupitishwa kwa hila Ubungo

Plato

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
420
Reaction score
94
Wakuu,
Sasa ni dhahiri CHADEMA kimeanza kuwa kama CCM.

John mnyika amekuwa akisema kinafiki kuwa hagombei uenyekiti wa chama Ubungo. Ajabu ni kuwa juzi na jana viongozi wa chama na wabunge maarufu kama Mdee na Lema, wametumika kutishia watu wajitoe ili mnyinka apite bila kupingwa. Wamembambikiza agombee na Renatus Pamba Diwani wa Sinza.
Hapo ni mbali na mizengwe aliyofanyiwa katibu mwenezi aliyeshinda, ila akaambiwa hakupata zaidi ya nusu ya kura. Lakini kuna wengine wameshinda bila asilimia 50 na wameachwa.

Hapa ACT TANZANIA ikijipatia wanachama, tusilielie, tunayataka wenyewe.

Uchaguzi unaendelea.
 
Plato VP, ile ya Ben umekamilisha kuthibitisha au umeiachia juujuu ukarukia mpasho mwingine??
Mimi naona ktk hili ungewahi kwenye mahakama yenu, itakusaidia zaidi ya hapa jf.
 
Last edited by a moderator:
PLATO ww ni ACT sema unajivika miamvuli ya CDM,asubuhi ulisema habari ya BEN bado haujakamilisha uthibitisho ukekimbilia kwa MNYIKA,pumba.fuzako
 
Chadema ni chama maarufu, mashughuli sana na tumaini sana Tanzania.. Ccm mkajipange tu
 
Mtaweweseka sana,na bado!
Tuna imani na cdm,jaribuni kila hila lakini hatutetereki!
 
Wakuu,
Sasa ni dhahiri CHADEMA kimeanza kuwa kama CCM.

John mnyika amekuwa akisema kinafiki kuwa hagombei uenyekiti wa chama Ubungo. Ajabu ni kuwa juzi na jana viongozi wa chama na wabunge maarufu kama Mdee na Lema, wametumika kutishia watu wajitoe ili mnyinka apite bila kupingwa. Wamembambikiza agombee na Renatus Pamba Diwani wa Sinza.
Hapo ni mbali na mizengwe aliyofanyiwa katibu mwenezi aliyeshinda, ila akaambiwa hakupata zaidi ya nusu ya kura. Lakini kuna wengine wameshinda bila asilimia 50 na wameachwa.

Hapa ACT TANZANIA ikijipatia wanachama, tusilielie, tunayataka wenyewe.

Uchaguzi unaendelea.

Aisee unahangaika kama vile unataka kutaga! Umetoka kuzusha habari za kamanda BEN na sasa umeanzisha uharo mwingine huku ili tu urambe buku 7.Pole sana gamba sugu
 
Plato unakuja kwa kasi .....mpaka chaguzi ziishe :A S 109:
 
Wakuu,

...Hapo ni mbali na mizengwe aliyofanyiwa katibu mwenezi aliyeshinda, ila akaambiwa hakupata zaidi ya nusu ya kura. Lakini kuna wengine wameshinda bila asilimia 50 na wameachwa...

Uchaguzi unaendelea.

Wewe Plato gani usiyejua hiki kifungu cha 6.3.1.(c) cha Katiba ya Chadema?

6.3 Uchaguzi wa Viongozi na Muda wa Uongozi
6.3.1 Utaratibu wa Uchaguzi
(a) Uchaguzi wa viongozi utazingatia taratibu na sifa za uongozi kama
zilivyofafanuliwa katika kanuni za Chama.
(b) Maombi ya uongozi yatafanywa kwa maandishi kwa kujaza fomu maalum
zilizoidhinishwa na Baraza Kuu la Chama.
(c) Majina ya wagombea wote wenye sifa zilizotakiwa yatapigiwa kura za siri na kikao
kinachohusika na mshindi atapatikana kwa uwingi wa kura usiopungua 50% ya
wapiga kura halali waliohudhuria kikao cha uchaguzi.

Labda hapo utakapotutajia wale (wengine) waliopitishwa kwa kura chini ya asilimia 50.
 
Aisee unahangaika kama vile unataka kutaga! Umetoka kuzusha habari za kamanda BEN na sasa umeanzisha uharo mwingine huku ili tu urambe buku 7.Pole sana gamba sugu
7x2=14000,hesabu ikoje gamba plato, socorates aliwa fundisha kufikiri ww plto gani?asiyefikiri.unataka kula kiulaini tu.
 
Kuna waliosoma lakini hawana akili (labda ni kama Kitila na Zitto). Kuna wenye akili lakini hawakusoma (labda Lema na Mnyika). Kuna ambao hawakusoma na hawana akili (nina shaka kama hapa hapatakufaa). Kuna waliosoma na wana akili (ni wacheche sana). Pia kusoma kunapimwa ktk mengi. Mwenye phd anaamini wa masters hajasoma. Wa kadigrii ka kwanza si msomi kwa mwenye masters. Ni hivyo kuteremka chini. Pia ulikosomea matters much. Kuna wa UDSM, UDOM.SAUT, SUA, nk. Kuna umesomea nini. Mfn rubani wa ndege ni msomi kuliko aliyesomea P.E, Na sana sana wapatavyo ni vyeti na sio diprii. Pia wanasalfasa wengi,wagunduzi, wanamapinduzi wana elimu isiyo formal. Waeleze wasio jua kipimo cha elimu na akili za mtu ni nini wajue tangu leo kuwa ni Output and Outcome regardless to how much educated are you.
 
Ivi pamoja na mbwembwe zote za mnyika yani uwezo wake ni uenyekiti wa wilaya? Duuh kazi ipo..
 
Alafu hiki kitu kinaitwa ACT ndio kitu gani hata hakieleweki hivi ni nini hicho ni jiwe,ni mti au ni mnyama?Eeeeh!
 
hivi watu wengine mna matatizo gani???? mnadhani chdm ni mahali pakuja kutafutia maisha labda mwende kwenye kile chama cha majangili (wauwaji wa tembo na wauzaji wa madawa ya kulevya)
 
Back
Top Bottom