GE2025 John Mnyika: Kuna njama ya kutukamata viongozi wa CHADEMA kabla ya Oktoba 29, 2025

GE2025 John Mnyika: Kuna njama ya kutukamata viongozi wa CHADEMA kabla ya Oktoba 29, 2025

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika akizungumzia tukio la kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti, Bara wa chama hicho, John Heche, leo Asubuhi Mahakamani alipofika kwa ajili ha kusikiliza shauri la uhaini linalomkabili Tundu Lissu.

1761144425513.jpeg

"Kama kukamatwa kwake John Heche kunahusiana na taarifa ya Uhamiaji ni jambo la kusikitisha sana, Polisi kutumia taarifa ambayo si ya kweli ya uhamiaji kumkamata."

Pia soma> John Heche akamatwa akiwa Mahakama Kuu akijiandaa kuhudhuria kesi ya Tundu Lissu

 
Back
Top Bottom