John Mnyika anastahili kuwa mwanasiasa bora 2012

John Mnyika anastahili kuwa mwanasiasa bora 2012

Joined
Dec 10, 2011
Posts
7
Reaction score
1
Ndugu wana JF,
Kwa upande wangu nimemchagua ndugu JJ MNYIKA kuwa mwanasiasa wangu wa mwaka 2012 kwa kuwa ameonyesha ukomavu wake mkubwa kwenye siasa na kuwafikia wananchi wake kwa karibu na kutambua matatizo yoa na kuwapigania pia mfano mzuri ni kuhusu hujuma za TANESCO na lile la kiwanda cha URAFIKI.
Je wewe mwana JF unaisi nani mwanasiasa wako bora wa 2012?
 
Ndugu wana JF,
Kwa upande wangu nimemchagua ndugu JJ MNYIKA kuwa mwanasiasa wangu wa mwaka 2012 kwa kuwa ameonyesha ukomavu wake mkubwa kwenye siasa na kuwafikia wananchi wake kwa karibu na kutambua matatizo yoa na kuwapigania pia mfano mzuri ni kuhusu hujuma za TANESCO na lile la kiwanda cha URAFIKI.
Je wewe mwana JF unaisi nani mwanasiasa wako bora wa 2012?

Nape Nnauye
 
huyu kijana namkubali sana na ni role model wangu katika siasa za vijana hana tamaa na ni mpenda maendeleo na ana hoja za msingi siyo kama huyu pindi zitto
 
huyu kijana namkubali sana na ni role model wangu katika siasa za vijana hana tamaa na ni mpenda maendeleo na ana hoja za msingi siyo kama huyu pindi zitto
Mbona mnaweweseka sana? Amaa kweli Zitto ni kiboko yenu, yaani bila kumtaja hamuoni raha! Na bado...
 
Bwana mdogo namkubali sana, na always nimemchukulia kama kipimo kwa .Zitto Hiyo ni milestone Zitto alipaswa ifikia kabla y akujiita mwanasiasa.Zitto anaweza pelekwa kila shule duniani na kupewa kila Degree ila siku zote JJ atakuwa role model wake and never the reverse.
 
Mimi kwa upande wangu Nape Nauye ndiye mwana siasa bora wa 2012 kwa jinsi anavyo saidia kukieneza chama na kuwaumbua wanaojiita wanauchungu na tanzania kumbe ni wachumia tumboni tu.
 
Ndugu wana JF,
Kwa upande wangu nimemchagua ndugu JJ MNYIKA kuwa mwanasiasa wangu wa mwaka 2012 kwa kuwa ameonyesha ukomavu wake mkubwa kwenye siasa na kuwafikia wananchi wake kwa karibu na kutambua matatizo yoa na kuwapigania pia mfano mzuri ni kuhusu hujuma za TANESCO na lile la kiwanda cha URAFIKI.
Je wewe mwana JF unaisi nani mwanasiasa wako bora wa 2012?

Kazi zake zinajieleza bungeni na jimboni kwake: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kazi-za-maendeleo-jimboni-ubungo-amua-10.html
 
Umechungulia majibu yangu nilikuwa na compare JJ na Lema ila in experience JJ kamzidi lema kidogo. Na lema ni ngumi jiwe sana sema Lina point JJ busara zimemzidi ila Ana confidence Naunga mkono hoja.
 
Ndugu wana JF,
Kwa upande wangu nimemchagua ndugu JJ MNYIKA kuwa mwanasiasa wangu wa mwaka 2012 kwa kuwa ameonyesha ukomavu wake mkubwa kwenye siasa na kuwafikia wananchi wake kwa karibu na kutambua matatizo yoa na kuwapigania pia mfano mzuri ni kuhusu hujuma za TANESCO na lile la kiwanda cha URAFIKI.
Je wewe mwana JF unaisi nani mwanasiasa wako bora wa 2012?

Kazi yake bungeni na jimboni inajieleza;https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kazi-za-maendeleo-jimboni-ubungo-amua-10.html
 
Mnyika is high standard politician, Akiendelea hv namtabiria kuwa mkiti au katibu mkuu muda c mrefu na atapeperusha bendera ya urais kupitia chadema 2025
 
Kweli ni kati ya vjana makini ktk siasa ya tz. Ni mtu ambaye yupo karibu kwa wananchi wake, anawez kujenga hoja na kuitetea, sio mpenda masifa na madharaka.
 
Masalia kalale. Zitto utahaha sana mwaka huu. You are politically Dead !

Ona jinsi ubongo wako ulivyo na uwezo mdogo wa kufikiri, unafikiri dunia nzima ni usiku muda huu?
Btw, muulizeni CIA wenu Ben kama Zitto ana account zaidi ya hiyo iliyo verified hapa JF, na kama anayo awaambie ni ipi.
 
naunga mkono hoja..
Mnyika hana tamaa
mnyika anahoja nzito inshort hakuna mwanasiasa mwenye hoja kama mnyika
na pia anaconfidence
 
Ni mwanasiasa pekee aliye thubutu kumtaja Rais Kikwete kama dhaifu. Ndani ya Bunge la Jamuhuri ya Muungano, mbele ya naibu wa Spika Job ndugai, huku vyombo vyote vya habari vya Dunia nzima vikimmulika. MBUNGE WA UBUNGO, Hon John Mnyika, kamtaja kikwete kuwa rais dhaifu. Akaambiwa afute kauli hiyo akakataa, na kutolewa nnje ya vikao vya bunge. MNYIKA ZITTO LEMA nawakubali sana bila kumsahau Tindu lisu.
 
Nina maswali naomba msaada kujibiwa:

  1. Kuna anayejua sababu iliyomzuia au zilizomzuia Mjengwa kuendesha shindano la Mwanasiasa Kijana wa Mwaka 2012 kama alivyofanya mwaka jana?
  2. Ni nani alichukua taji la Mwanasiasa Kijana wa Mwaka 2011?
  3. Kura za mitandaoni zina uwakilishi na ulinganifu upi ukilinganisha na hali halisi mitaani?
 
dogo katulia sana, ana great future in politics akiendelea namna hii
 
Back
Top Bottom