John Malecela alithubutu

Crucifix

JF-Expert Member
Feb 20, 2011
1,651
588
Mzee Malecela kipindi akiwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais alithubutu kutuletea serikali ta Tanganyika akishirikiana na wabunge 55 miongoni mwao Njelu Kasaka na Philip Marmo. Isingekuwa kuingiliwa kati na Mwalimu Nyerere, Malecela angeweza!
 
Nakumbuka sana jopo lile machachari na kama unafikiri wamelala basi usijilaumu vidonda miguu yote!!! Usimsahau naye mpiganaji wa kimtindo, Mch Mtikila.

Mzee Malecela kipindi akiwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais alithubutu kutuletea serikali ta Tanganyika akishirikiana na wabunge 55 miongoni mwao Njelu Kasaka na Philip Marmo. Isingekuwa kuingiliwa kati na Mwalimu Nyerere, Malecela angeweza!
 
kama kweli ilikuwa ni ajenda yake mbona baada ya mwalimu kuingilia kati amekaa kimya hadi leo,?? mpiganaji kamili angetoka ccm na kuanzisha chama au kujiunga na chama chenye sera ya serikali tatu, ila alipowaza uwazi mkuu na umakamu wa raisi na mafao baada ya kustaafu akanywea!!
 
Jamani Tangayika ipo na itaendelea kuwepo na hivi karibuni itakuwa na miaka 50. Hiyo si Tanzania bara ila ni Tangayika - so hakuna mtu yoyote anaweza kuileta sasa hivi sababu ipo! Tukitaka kujua haipo basi tuangalie jinsi vongozi watakavyo ingia uwanja wa Taifa siku hiyo. PM akiingia kama mtu wa pili kutoka mwisho basi Tangayika Ipo akiingia mtu wa tatu toka mwisho na kuendelea basi tutakuwa tunasherehekea nchi ambayo haipo!
 
Jamani Tangayika ipo na itaendelea kuwepo na hivi karibuni itakuwa na miaka 50. Hiyo si Tanzania bara ila ni Tangayika - so hakuna mtu yoyote anaweza kuileta sasa hivi sababu ipo! Tukitaka kujua haipo basi tuangalie jinsi vongozi watakavyo ingia uwanja wa Taifa siku hiyo. PM akiingia kama mtu wa pili kutoka mwisho basi Tangayika Ipo akiingia mtu wa tatu toka mwisho na kuendelea basi tutakuwa tunasherehekea nchi ambayo haipo!

kiprotokali, Pinda yuko chini ya Sharif Hamad!
 
Jamani Tangayika ipo na itaendelea kuwepo na hivi karibuni itakuwa na miaka 50. Hiyo si Tanzania bara ila ni Tangayika - so hakuna mtu yoyote anaweza kuileta sasa hivi sababu ipo! Tukitaka kujua haipo basi tuangalie jinsi vongozi watakavyo ingia uwanja wa Taifa siku hiyo. PM akiingia kama mtu wa pili kutoka mwisho basi Tangayika Ipo akiingia mtu wa tatu toka mwisho na kuendelea basi tutakuwa tunasherehekea nchi ambayo haipo!

Fafanua mkuu au umechanganya mambo.
 
Jamani Tangayika ipo na itaendelea kuwepo na hivi karibuni itakuwa na miaka 50. Hiyo si Tanzania bara ila ni Tangayika - so hakuna mtu yoyote anaweza kuileta sasa hivi sababu ipo! Tukitaka kujua haipo basi tuangalie jinsi vongozi watakavyo ingia uwanja wa Taifa siku hiyo. PM akiingia kama mtu wa pili kutoka mwisho basi Tangayika Ipo akiingia mtu wa tatu toka mwisho na kuendelea basi tutakuwa tunasherehekea nchi ambayo haipo!

Mkuu, Tanganyika kama 'piece of land' ipo; bali Tanganyika kama 'state' haipo!
 
Mzee Malecela kipindi akiwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais alithubutu kutuletea serikali ta Tanganyika akishirikiana na wabunge 55 miongoni mwao Njelu Kasaka na Philip Marmo. Isingekuwa kuingiliwa kati na Mwalimu Nyerere, Malecela angeweza!

Pia alikuwa na hawara (sasa mke) mwenye kutambua haki na ukweli!

Zanzibar ipo, Tanganyika iko wapi?
 
Mzee Malecela kipindi akiwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais alithubutu kutuletea serikali ta Tanganyika akishirikiana na wabunge 55 miongoni mwao Njelu Kasaka na Philip Marmo. Isingekuwa kuingiliwa kati na Mwalimu Nyerere, Malecela angeweza!

Pia alikuwa na hawara (sasa mke) mwenye kutambua haki na ukweli!

Zanzibar ipo, Tanganyika iko wapi?
 
kiprotokali, Pinda yuko chini ya Sharif Hamad!
Mkuu, samahani kwa kukuambia kwamba hapo umechemsha. Viongozi wakuu wa nchi ki-protokali ni Rais wa JMTZ, Makamu wa Rais, na baada ya hapo anafuata Waziri Mkuu. Zile za kuwaingiza Rais wa Zanzibar na makamu wake ni fake protocol yenye lengo la kutowaudhi wazenji. Ndiyo maana hata ktk baraza la mawaziri Rais wa Zanzibar ni mjumbe (waziri asiye na wizara maalum). Makamu wote wawili wa Mhe. Rais wa Zanzibar au Waziri kiongozi wote hao hawamo katika baraza la mawaziri, ambalo ndicho kikao kikuu kuliko vyote cha kumshauri Mhe. Rais juu ya mambo yote yanayohusu utekelezaji wa madaraka yake kwa mujibu wa Katiba (ang. ibara ya 54 ya Katiba ya JMTZ).
 
Mkuu, samahani kwa kukuambia kwamba hapo umechemsha. Viongozi wakuu wa nchi ki-protokali ni Rais wa JMTZ, Makamu wa Rais, na baada ya hapo anafuata Waziri Mkuu. Zile za kuwaingiza Rais wa Zanzibar na makamu wake ni fake protocol yenye lengo la kutowaudhi wazenji. Ndiyo maana hata ktk baraza la mawaziri Rais wa Zanzibar ni mjumbe (waziri asiye na wizara maalum). Makamu wote wawili wa Mhe. Rais wa Zanzibar au Waziri kiongozi wote hao hawamo katika baraza la mawaziri, ambalo ndicho kikao kikuu kuliko vyote cha kumshauri Mhe. Rais juu ya mambo yote yanayohusu utekelezaji wa madaraka yake kwa mujibu wa Katiba (ang. ibara ya 54 ya Katiba ya JMTZ).

Mkuu! Yawezekana uko sahihi kinadharia lakini uko mbali kabisa na hali halisi. Tukio la kwanza kuwakutanisha viongozi wote wa juu kitaifa ilikuwa ni msiba wa ajali ya meli kule Zanzibar. Itifaki iliyozingatiwa ilikuwa hivi
  1. Rais wa Muungano
  2. Makamu wa rais (muungano)
  3. Rais wa Zanzibar
  4. Makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar
  5. Makamu wa pili wa rais wa Zanzibar
  6. Waziri mkuu (muungano)

Tukio linalofuatia wiki ijayo ni sherehe za uhuru, utajiridhisha na hiki nilichokiona Zanzibar. Lakini naungana na wewe kuwa protokali sio mamlaka ndio maana rais znz anakuwa mjumbe tu asiye na wizara maalum katika baraza la mawaziri, lakini anakaa kando ya rais wa muungano. Utakubaliana nami kuwa aliye juu kiprotokali ana ushawishi zaidi kwa mkuu?
 
Kuna uwezekano wale wabunge wa zamani wana G-55 leo hii wakaonekana wamezeeka kinamna fulani hivi ila naweza nikakuhakikishia kwamba yale mawazo waliokua wakiyasimamia ndio kwaaanza yanachipuka miongoni mwa jamii yetu. Time will tell on Tanganyika rejuvination for once!
 
Mzee Malecela kipindi akiwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais alithubutu kutuletea serikali ta Tanganyika akishirikiana na wabunge 55 miongoni mwao Njelu Kasaka na Philip Marmo. Isingekuwa kuingiliwa kati na Mwalimu Nyerere, Malecela angeweza!


kweli alithubutu!
 
New Tanganyika is coming soon. It might be in the next general erection. It's our time kuthubutu.
 
Endapo katiba italazimishwa kwa ajiri tu ya kufanikisha Project Membe basi kindumbwendumbwe cha TANGANYIKA kurudi kwa kasi na nguvu kubwa ajabu nchini. Mar that point.
 
Back
Top Bottom