Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Mzee Malecela kipindi akiwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais alithubutu kutuletea serikali ta Tanganyika akishirikiana na wabunge 55 miongoni mwao Njelu Kasaka na Philip Marmo. Isingekuwa kuingiliwa kati na Mwalimu Nyerere, Malecela angeweza!