John Magufuli Utotoni

John Magufuli Utotoni

hapa lowasa tuuu picha yako mpelekee mwenye picha.ukawa hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Uongo mkubwa nyakati hizo za miaka ya 1960 picha za rangi zilikuwa hazijafika maeneo ya usukumani na maeneo mengi ya Tanganyika.
 
hahaha kwahiyo unatushawishi tumpigie kura kwa hiyo picha tu.....unadhani na sisi hatuna picha cha utotoni.

Ni bora ungeleta summary ya sera alizosema leo kuliko kutuletea picha
 
Tunataka rais aliepitia shida ndo atatujali. kama Lula da silva aliekuwa rais wa brazil. now brazil wako vzr kiuchumi sababu ya da silva
 
Back
Top Bottom