Siyo sifa kuwa maskini kwani ukimwangalia kama ni yeye kweli hana viatu na mchafu. Maana yake ninini? Alikuwa kwenye hatari ya kupata safura na jamii nyingine ya minyoo kwa kutokuvaa viatu. Hii inaleta athari kwa ukuaji wake ambayo ingemletea kudumaa hivyo hata akili yake itakuwa imeathirika kwa udumavu uliochangiwa na umaskini. Si ajabu hata leo akisema raisi wa Kuwait ni Saddam. Si jambo la kujivunia kabisa. Jamani umaskini mbaya. Angalia jinsi maskini wanavyopata taabu. Hawana uhakika wa mlo, elimu, afya, maji, barabara na kadhalika. Ewe mdau hebu usijiangalie wewe ambaye umeweza kupata mahitaji muhimu halafu umwangalie jirani yako ambaye anaishi maisha duni na kila siku anapewa ahadi zisizo na utekelezaji eti maisha bora kwa kila mtanzania. Maisha yapi? Sasa hivi tunaambiwa HAPA NI KAZI TU kazi wapi bila elimu, kazi wapi bila lishe? kazi wapi bila maji? tusidanganyane tuwe makini na tuchukue hatua baada ya kutafakari.![]()
Cheki hatua alizokulia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, ni mtoto wa mkulima, ni maisha ya kawaida, ndio maana anazijua shida za Watanzania, Mpe Kura yako John Pombe Joseph Magufuli.
Na Mr Chin
[h=3][/h]![]()
Cheki hatua alizokulia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, ni mtoto wa mkulima, ni maisha ya kawaida, ndio maana anazijua shida za Watanzania, Mpe Kura yako John Pombe Joseph Magufuli.
Na Mr Chin
uongo mwingine huu, zamani kulikuwa na picha za rangi?
Wa Tanzania mmelogwa nani alisema umaskini ni sifa ya uraisi? we want some one who think big.
Huyo uliuosema ni mawazo ya mtu mwenye akili?mbona hujui ulisemalo?mi hata lowasa afe leo,nitalipigia kura jeneza lake na siyo ccm
Hata upigie Fuvulake RAIS MAGUFULI
So what..?!!![]()
Cheki hatua alizokulia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, ni mtoto wa mkulima, ni maisha ya kawaida, ndio maana anazijua shida za Watanzania, Mpe Kura yako John Pombe Joseph Magufuli.
Na Mr Chin