John Heche: Tumetoka gerezani kumsalimia Lema, yuko imara na mwenye afya, ameniambia neno moja...

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Anaandika Mbunge wa Tarime John Heche.

Tumetoka Gerezani kumsalimia kamanda Lema yuko imara na mwenye afya, ameniambia neno moja .

"kama unaamini hofu itakufanya uishi milele au upate uzima wa milele kutoka mbinguni nenda kaishi kwa hofu, lakini kama unajua hofu haikupi hayo basi kapiganie haki na usikubali kutiwa hofu wambie na makamanda wote"

Pia hata mimi mwenyewe nilipata nafasi ya kuonana Mbunge huyo Godbless Lema ujumbe anawasalimia watanzania wote ambacho anaomba kutoka kwenu kuendelea kumwombea kwa Mungu ipo siku maono yake yatatimia.
Nimeshangaa sana pamoja na Lema kuwa mahabusu bado ana ujasiri mkubwa naamini ukiwa upande wa Mungu hawezi kukuacha siku zote.


Anasema hatorudi nyuma mapambano ndo yameanza.
 
Pia hata mimi mwenyewe nilipata nafasi ya kuonana Mbunge wa Godbless Lema ujumbe anawasalimia watanzania wote ambacho anaomba kutoka kwenu kuendelea kumwombea kwa Mungu ipo siku maono yake yatatimia.
Anasema hatorudi nyuma mapambano ndo yameanza.
 
Natumai mtakuwa mmemshauri vizuri makamanda wanaishigi kigum atakama anajuta hawezi sema kwa maana hiyo makamanda wote walioko nje wanahofu na hawapiganii wananchi ila ww tu kira laherii
 
Ishi kwa kuzingatia sheria na kanuni za nchi unayoishi. Kinyume cha hapo utashughulikiwa kwa mjibu wa sheria na huo ubunge utaupoteza. Mungu alisema 'Ya Kaisari mpe Kaisari na ya Mungu mpe Mungu'. Hapo utaishi dunia hii kwa furaha na utafika kwenye uzima wa milele.
 
Tumetoka Gerezani kumsalimia kamanda Lema yuko imara na mwenye afya, ameniambia neno moja .
"kama unaamini hofu itakufanya uishi milele au upate uzima wa milele kutoka mbinguni nenda kaishi kwa hofu, lakini kama unajua hofu haikupi hayo basi kapiganie haki na usikubari kutiwa hofu wambie na makamanda wote"
 
Huyo bibi inabidi kumzoea Mimi nilimpuuza anapochangia yeye eti herufi sijui vitu gani ....

Wakati na yeye kuna muda anakosea......

Halafu analewa like za wapuuzi wenzie.........

Niligundua ni snitch na ni mswahili dawa ni kumpuuza tu............

Huwezi kujifanya unajua kila kitu hapa maana hata chuo huwezi soma kila kozi.........

Naomba tumpuuze......
 
Punguani ni tusi? au ujinga ni tusi? Sifa hizo.

Hai uliowaita harlots, nnaoba msome Tamar kwenye Genealogy of Jesus ndani ya biblia halafu nijuze, jee akuitwa harlot?

Sasa ikiwa hata Jesus "mungu" ana ukoo na harlot itakuwa FaizaFoxy? Fikiri.
Kwa hio punguani ni pongezi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…