Hata mimi nimemuona nafikiri kuna mwenzake naye anajiandaa yeye demokrasia ya Chadema ni lazima ashinde anayemtaka.Subirini mtaona shutuma lukuki hapa, kuna mtu namsubiri hapa.
Hata mimi nimemuona nafikiri kuna mwenzake naye anajiandaa yeye demokrasia ya Chadema ni lazima ashinde anayemtaka.Subirini mtaona shutuma lukuki hapa, kuna mtu namsubiri hapa.
Hata mimi nimemuona nafikiri kuna mwenzake naye anajiandaa yeye demokrasia ya Chadema ni lazima ashinde anayemtaka.
Wewe Butola hujui kilichokuwa kinafanyika baada ya siku utaelewa zaidi ndio maana mimi nawapongeza sana wazee kwa kuliona hilo hata Chenge alipogombea Uspika watu hawakujua nia yake lakini baada ya siku kupita wakaanza kuunganisha dot.Ingetosha tu kusema una imani na Heche, haya mengine ya CCM kufanya juu chini ili Heche asisinde as if wagombea wengine wa Uenyekiti walikuwa mamluki wa CCM ni hoja ya hovyo kabisa.
By the way wamuogope kwa nini hasa?binafsi naamini pia kuwa Heche kwa kutojua atainufaisha sana CCM Tarime 2015, wait and see!!
Hongera sana mkuu,
Sikujui hata kwa sura, sijui ilikuwa na title gani lakini ujasiri wako unanipa kila sababu ya kuamini utakuwa mwiba kwa magamba na wale wanafiki ambao tumbo linawaongoza.
Tuendeleze mapambano.
Umejuaje?we subiri tu utaona ila nimemiss sana mtaalam wa siasa ya TZ? WABEROYA upo wapi?
Hongera Heche ila tahadhari ni kuwa hapendwi mtu hapa. Kesho ukileta za kigamba utakiona cha mtemakuni.
Umejuaje?
Nafasi za Makamu mwenyekiti Bara na Visiwani matokeo yakoje?....
Gender issue na itifaki imezingatiwa.Wanajamvi...hii ndio safu ya uongozi wa bavicha taifa,John Heche mwenyekiti,Makamu mwenyekiti bara Juliana Shonza na visiwani Sharifa..
Wanajamvi...hii ndio safu ya uongozi wa bavicha taifa,John Heche mwenyekiti,Makamu mwenyekiti bara Juliana Shonza na visiwani Sharifa..
Hadi sasa hujui atasema nini sisi wengine tuliojifunza mambo ya forecastng na predictions za mawazo ya watu tunajua kuna mtu wao ambaye hakuvuka hata bahari ya shamu ila watu wao wengine walivuka kama Musa lakini Mungu akawaambia kamwe hawataingia kaanani usiniulize zaidi.Angetuchambulia hatma ya CDM baada ya huu uchaguzi.
Chadema haiendeshwi kwa hisia zenu za kidini wala haiogopi kuchukua hatua eti itaonekana ni ya dini fulani wamefanya kweli ili mzidi kusema.Mbona illikuwa inatarajiwa hii! Kambi ya wenye kampuni wakina Mbowe inazidi kujiimarisha na Kambi ya wakuja wakina Zitto inazidi kudhoofishwa. HABIB na CHADEMA wapi na wapi! Au ulikuwa huamini kuwa chadema ni chama cha watu fulani? Haya umejionea mwenyee hila zao!
Hadi sasa hujui atasema nini sisi wengine tuliojifunza mambo ya forecastng na predictions za mawazo ya watu tunajua kuna mtu wao ambaye hakuvuka hata bahari ya shamu ila watu wao wengine walivuka kama Musa lakini Mungu akawaambia kamwe hawataingia kaanani usiniulize zaidi.