John Heche atikisa Sirali

John Heche atikisa Sirali

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,436
Reaction score
271,937
Mkutano wa Mh @hechejohn  Mbunge wa Tarime Vijiji Ukiwa unaendelea Mají mdogo wa ( 750 X 750 ).jpg


CCM na vyombo vya dola CHADEMA na Nguvu ya Umma
 
Natamani CCM wachukue hilo jimbo. CDM hawana lolote bali kulalamika na kutafuta huruma kwa wananchi.
 
Natamani CCM wachukue hilo jimbo. CDM hawana lolote bali kulalamika na kutafuta huruma kwa wananchi.
Ni kweli watakuwa wamesombwa na maloli kutoka nchi jirani.
 
labda kama umelogwa
Unataka nikwambie chadema inachukua ili ufurahi?haya chadema wanachukua sijui upumbazu huu mtaacha lini nyie yeyote mwenye mawazo tofauti na nyie nia adui. Sijawahi kuona watu wajinga kama nyie.
 
Hii kitu ya kuwazuia upinzani miaka 4 wasifanye mikutano ndiyo inawapa mzuka wa nguvu wananchi. Yaani wananchi wana kiu kubwa sana ya kuwasikia hawa magalacha wa upinzani. Kwanza wanataka kujua nini wanachokijua kuhusu Serikali ya Awamu ya 5 ambacho Magufuli anakiogopa.

Pili wana sumpathise sana kwa jinsi Awamu ya 5 ilivyowatesa, kwa hiyo kila mkutano watafunga nyomi sana.

Aliyemshauri Magufuli kusimamisha shughuli za vyama vya siasa hadi uchaguzi alikosea sana. Kama alifanya mwenyewe basi ALIKURIPUKA
 
Hii kitu ya kuwazuia upinzani miaka 4 wasifanye mikutano ndiyo inawapa mzuka wa nguvu wananchi. Yaani wananchi wana kiu kubwa sana ya kuwasikia hawa magalacha wa upinzani. Kwanza wanataka kujua nini wanachokijua kuhusu Serikali ya Awamu ya 5 ambacho Magufuli anakiogopa.

Pili wana sumpathise sana kwa jinsi Awamu ya 5 ilivyowatesa, kwa hiyo kila mkutano watafunga nyomi sana.

Aliyemshauri Magufuli kusimamisha shughuli za vyama vya siasa hadi uchaguzi alikosea sana. Kama alifanya mwenyewe basi ALIKURIPUKA
Tunakushukuru sana kwa kuona mbali
 
Back
Top Bottom