Nyahende Thomas
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 211
- 104
Ndg wanaJF,
Taarifa nilizopokea hivi punde ni kuwa Mwenyekiti wa Taifa, wa Baraza la vijana Chadema kamanda John Heche amekwea pipa jioni hii kuelekea nchini Moroco kuhudhuria kikao cha bodi ya Freedom Forum For International Young Democratic Union, uliopangwa kufanyika kuanzia kesho tarehe 12/07/2012.
Heche ambaye ni mjumbe wa bodi ya taasisi hiyo atawasilisha mada juu ya unyanyasaji unaofanywa na vyombo vya dola kudumaza demokrasia pamoja na mauaji holela ya raia. Case study itakuwa mauaji ya Igunga, Arumeru,Arusha na Nyamongo.
Pia atazungumzia vitisho vya kuuawa kwa viongozi wa Chadema pamoja na kutekwa kwa Dr. Ulimboka.
Naomba kuwasilisha kwenu wadau.
Taarifa nilizopokea hivi punde ni kuwa Mwenyekiti wa Taifa, wa Baraza la vijana Chadema kamanda John Heche amekwea pipa jioni hii kuelekea nchini Moroco kuhudhuria kikao cha bodi ya Freedom Forum For International Young Democratic Union, uliopangwa kufanyika kuanzia kesho tarehe 12/07/2012.
Heche ambaye ni mjumbe wa bodi ya taasisi hiyo atawasilisha mada juu ya unyanyasaji unaofanywa na vyombo vya dola kudumaza demokrasia pamoja na mauaji holela ya raia. Case study itakuwa mauaji ya Igunga, Arumeru,Arusha na Nyamongo.
Pia atazungumzia vitisho vya kuuawa kwa viongozi wa Chadema pamoja na kutekwa kwa Dr. Ulimboka.
Naomba kuwasilisha kwenu wadau.