Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,255
- 219,471
Huyo aliekuambia tumelipwa bilioni 700 muulize zile trillion 360 ziliyeyukia wapiTukiwagusa Acacia tutashitakiwa MIGA alisikika Lisu msomi aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania lakini badala yake tukaja kulipwa billion 700 na Acacia ikafutwa na ikaundwa kampuni mpya ya Twiga ambayo Tanzania tuna hisa 16% na kwenye top management ya kampuni wapo watanzania. Kupitia kampuni mpya ya Twiga watanzania wameendelea kupata gawio la mabilioni ya fedha kila mwaka zinazotokana na mauzo ya madini.
Lisu alilipwa na nani kuwadanganya watanzania?
------------ ------- ---------- --------
Lisu ni msaliti anayejiamini sana
Kwanza hakuna bilion 700 iliyolipwa. Hiyo good will ya Barrick ya sh 700 bilioni italipwa katika kipindi cha miaka 7.Huyo aliekuambia tumelipwa bilioni 700 muulize zile trillion 360 ziliyeyukia wapi
Tukiwagusa Acacia tutashitakiwa MIGA alisikika Lisu msomi aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania lakini badala yake tukaja kulipwa billion 700 na Acacia ikafutwa na ikaundwa kampuni mpya ya Twiga ambayo Tanzania tuna hisa 16% na kwenye top management ya kampuni wapo watanzania. Kupitia kampuni mpya ya Twiga watanzania wameendelea kupata gawio la mabilioni ya fedha kila mwaka zinazotokana na mauzo ya madini.
Lisu alilipwa na nani kuwadanganya watanzania?
------------ ------- ---------- --------
Lisu ni msaliti anayejiamini sana
ππ€£ππ€£ππ€£π Ningekuwa dodoma ningekuambia #TOKORIYAKO. Ila Kwa SASA niko #LONGIDO na mwanangu wa faida #LENGANASA tunakuambia Kijogoodi WEWE ni #NGOMOSI TUTukiwagusa Acacia tutashitakiwa MIGA alisikika Lisu msomi aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania lakini badala yake tukaja kulipwa billion 700 na Acacia ikafutwa na ikaundwa kampuni mpya ya Twiga ambayo Tanzania tuna hisa 16% na kwenye top management ya kampuni wapo watanzania. Kupitia kampuni mpya ya Twiga watanzania wameendelea kupata gawio la mabilioni ya fedha kila mwaka zinazotokana na mauzo ya madini.
Lisu alilipwa na nani kuwadanganya watanzania?
Lisu ni msaliti anayejiamini sana
Uongo hautakusaidia chochoteWanataka kumpindua mwenyekiti wao. Chadema kuweni makini Kuna mapinduzi ya uongozi yanaandaliwa na kuratibuwa na heche. Taarifa za ndani tunazo
Siungi mkono uenyekiti wa mbowe lakini siungi mkono mapinduzi yoyote, mbowe anapaswa kuondolewa kwa amani. Lissu amesaliti taifa anataka kusaliti na chama chake.
Inajulikana Heche ndio mwenyekiti mpya wa ChademaKuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na mmoja wa wawakilishi wa Chadema kwenye Mazungumzo ya Maridhiano , John Heche , Amekutana na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu Nchini Italia .
View attachment 2368707View attachment 2368708
Mpaka sasa bado haijafahamika ajenda ya kukutana kwao , Bali vikao vizito vimeonekana kuendelea kati yao .
Endelea kututegea sikio hapahapa JF kwa Taarifa zaidi .
Chukua za ndani hizo muanze kupambanaUongo hautakusaidia chochote