Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,308
- 271,639
Kiongozi hatakiwi kuficha ukarimu wakekulikuwa na ulazima gani wa kupost hizo kwenye social media?
we jamaa ndo shetani mwenyewe nn 🤣 🤣Bwege ndo yule aliyefungwa POP ya no reforms no election?
huyu jamaa sjui kama ana mda mrefu anaumw sana, interview ya mwisho alikua anasema anataka kuchukua figo kwa mtoto wakeKiongozi hatakiwi kuficha ukarimu wake
Tumuombeehuyu jamaa sjui kama ana mda mrefu anaumw sana, interview ya mwisho alikua anasema anataka kuchukua figo kwa mtoto wake
huyu jamaa sjui kama ana mda mrefu anaumw sana, interview ya mwisho alikua anasema anataka kuchukua figo kwa mtoto wake
hapana lazima iwe inapiga kaziKitaalamu, hakuna uwezekano wa kuchukuliwa figo ya mtu aliyefariki akapachikiwa mgonjwa na ikafanya kazi?
itakua alikua anapiga vyombo sana ila mazoezi jaman msisahau tunakumbusha sana humu watu wanachukulia utanTumuombee
Kisukari kinatesa sana mkuu, kuna mbebe aliniuliza unaugua magonjwa km Kisukari ?kulikuwa na ulazima gani wa kupost hizo kwenye social media?
Kisukari kinatesa sana mkuu, kuna mbebe aliniuliza unaugua magonjwa km Kisukari ?
Kilwa elewa neno Kilwahuyu jamaa sjui kama ana mda mrefu anaumw sana, interview ya mwisho alikua anasema anataka kuchukua figo kwa mtoto wake
ata ingekua sumbawanga mzee, kuna magonjwa ukienda hospital unaenda tu kukamilisha ratiba ila inakua ushafika stage mbaya sana, nshapoteza kaka yake mshua kwa kutozingatia afyaKilwa elewa neno Kilwa
Hivi ni stage gani ya ugonjwa unataka kuiwahi ndio unakua na asilimia nyingi za kupona?ata ingekua sumbawanga mzee, kuna magonjwa ukienda hospital unaenda tu kukamilisha ratiba ila inakua ushafika stage mbaya sana, nshapoteza kaka yake mshua kwa kutozingatia afya
hizi ugonjwa bila kufanya check up za mara kwa mara kutoboa ngumu, na ni ugonjwa zinazokua kila sku kama huna ustarabu wa mazoezi na kula vizuri sku unaenda hospital sio kwamba unaenda kupewa tiba bali unaenda tu kuambiwa ulishachelewaHivi ni stage gani ya ugonjwa unataka kuiwahi ndio unakua na asilimia nyingi za kupona?
Hivi ni stage gani ya ugonjwa unataka kuiwahi ndio unakua na asilimia nyingi za kupona?
Nadhani mimi ntakua mmoja wapo maana nina allergy na foleni za hospitalhizi ugonjwa bila kufanya check up za mara kwa mara kutoboa ngumu, na ni ugonjwa zinazokua kila sku kama huna ustarabu wa mazoezi na kula vizuri sku unaenda hospital sio kwamba unaenda kupewa tiba bali unaenda tu kuambiwa ulishachelewa
una kilo ngap na una urefu ganNadhani mimi ntakua mmoja wapo maana nina allergy na foleni za hospital
Inawezekana mkuu, wataalamu wafanyie kazi:-hapana lazima iwe inapiga kazi