John Heche afika Moi kumjulia hali Mzee Bwege

John Heche afika Moi kumjulia hali Mzee Bwege

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,308
Reaction score
271,639
Screenshot_2025-07-24-19-19-05-1.png
Screenshot_2025-07-24-19-18-54-1.png
Screenshot_2025-07-24-19-19-21-1.png
 
Kilwa elewa neno Kilwa
ata ingekua sumbawanga mzee, kuna magonjwa ukienda hospital unaenda tu kukamilisha ratiba ila inakua ushafika stage mbaya sana, nshapoteza kaka yake mshua kwa kutozingatia afya
 
ata ingekua sumbawanga mzee, kuna magonjwa ukienda hospital unaenda tu kukamilisha ratiba ila inakua ushafika stage mbaya sana, nshapoteza kaka yake mshua kwa kutozingatia afya
Hivi ni stage gani ya ugonjwa unataka kuiwahi ndio unakua na asilimia nyingi za kupona?
 
Hivi ni stage gani ya ugonjwa unataka kuiwahi ndio unakua na asilimia nyingi za kupona?
hizi ugonjwa bila kufanya check up za mara kwa mara kutoboa ngumu, na ni ugonjwa zinazokua kila sku kama huna ustarabu wa mazoezi na kula vizuri sku unaenda hospital sio kwamba unaenda kupewa tiba bali unaenda tu kuambiwa ulishachelewa
 
hizi ugonjwa bila kufanya check up za mara kwa mara kutoboa ngumu, na ni ugonjwa zinazokua kila sku kama huna ustarabu wa mazoezi na kula vizuri sku unaenda hospital sio kwamba unaenda kupewa tiba bali unaenda tu kuambiwa ulishachelewa
Nadhani mimi ntakua mmoja wapo maana nina allergy na foleni za hospital
 
hapana lazima iwe inapiga kazi
Inawezekana mkuu, wataalamu wafanyie kazi:-
Yes, a kidney from a deceased (dead) person can be transplanted into a patient with kidney failure
This is known as a deceased donor kidney transplant. The kidney is removed from the deceased donor and transplanted into the recipient, replacing their diseased or injured kidney.
 
Back
Top Bottom