PreGE2025 John Heche achochea vurugu kwenye mikutano, wananchi wapokea kichapo na kuumizwa

PreGE2025 John Heche achochea vurugu kwenye mikutano, wananchi wapokea kichapo na kuumizwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Irene17

Member
Joined
Feb 8, 2025
Posts
42
Reaction score
115
Licha ya kupewa kibali cha kufanyia mikutano ya hadhara kwa sharti la kulinda amani, lakini Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ameonekana kushindwa kutumia uhuru aliopewa na sasa ameanza kuamuru vijana wake kuanza kuwapiga wananchi wanaokwenda kuwasikiliza ajenda zao mfu za No Reforms No Election.

Kwanza hali ya hatari ya ilianza kuonekana kwenye mkutano uliofanyika Singida, ambapo Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche aliwatishia wananchi waliokua na mawazo kinzani kuhusu Hoja yao ya No Reforms No Election na Heche alitamka kauli ambayo ingeweza kuleta maafa makubwa mno kama Jeshi la Polisi lisingekuwepo maeneo ya karibu pale.

Heche alitamka maneno yafutayo "Nyie vijana hapo mnajifanya mnapinga No Reforms No Election, nitawatuma vijana wetu wawafinye hadi mpotee"

Kauli yake hii ilizua taharuki kubwa kwenye mkutano wake wa Singida ambao kwa asilimia kubwa wananchi walikua hawataki ajenda ya No Reforms No Election mpaka pale Polisi walipoingilia kati kunusuru zahma kutokea.

Lakini Chizi huwa hasahau jalala lake, leo tena akiwa mkoani Tabora John Heche ameamuru vijana wake, kuwapiga wananchi waliokwenda kusikiliza hoja zisizo na uhalisia za kuzuia Uchaguzi Mkuu, akaagiza vijana wake kuwarushia mawe wananchi, ambapo mpaka muda huu kuna wananchi zaidi 25 wamejeruhiwa kwa sababu ya kupokea kichapo kwa sababu ya amri ya John Heche.

Umefika muda John Heche aseme wao kama CHADEMA hawawataki Watanzania waende kusikiliza hoja zao zilizokufa, ili waepukane na vichapo kwa sababu ya amri anazozitoa maana kama ni hivyo sasa kila anayekwenda kwenye huo mkutano hana uhakika kama atarudi na Ngeu au kupata ulemavu.
 
Kama ni kweli Jana Heche alisababisha Fujo singida kwanini jeshi la police halimkushikilia ? Wakat police walikuwepo eneo la tukio?
 
Tunashukuru Mungu kwa maendeleo ya Teknolojia jaribu kuwaza kama pasingekuwa na Youtube na kuona haya mambo live. Halafu unakutana na hadithi kama hii.

CCM wajue tu hawataweza kushindana na nyakati. Majira ya propoganda na uongo yamepitwa wakati
 
Wewe mtoa mda acha ungese sio kila mtu utamdanganya nyoosha maelezo vizuri watu walikuwa kwenye mkutano wakavamiwa na kundi la vijana walio beba visu na mapanga ulitaka wafanyaje wasipambanie uhai wao.
 
Licha ya kupewa kibali cha kufanyia mikutano ya hadhara kwa sharti la kulinda amani, lakini Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ameonekana kushindwa kutumia uhuru aliopewa na sasa ameanza kuamuru vijana wake kuanza kuwapiga wananchi wanaokwenda kuwasikiliza ajenda zao mfu za No Reforms No Election.

Kwanza hali ya hatari ya ilianza kuonekana kwenye mkutano uliofanyika Singida, ambapo Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche aliwatishia wananchi waliokua na mawazo kinzani kuhusu Hoja yao ya No Reforms No Election na Heche alitamka kauli ambayo ingeweza kuleta maafa makubwa mno kama Jeshi la Polisi lisingekuwepo maeneo ya karibu pale.

Heche alitamka maneno yafutayo "Nyie vijana hapo mnajifanya mnapinga No Reforms No Election, nitawatuma vijana wetu wawafinye hadi mpotee"

Kauli yake hii ilizua taharuki kubwa kwenye mkutano wake wa Singida ambao kwa asilimia kubwa wananchi walikua hawataki ajenda ya No Reforms No Election mpaka pale Polisi walipoingilia kati kunusuru zahma kutokea.

Lakini Chizi huwa hasahau jalala lake, leo tena akiwa mkoani Tabora John Heche ameamuru vijana wake, kuwapiga wananchi waliokwenda kusikiliza hoja zisizo na uhalisia za kuzuia Uchaguzi Mkuu, akaagiza vijana wake kuwarushia mawe wananchi, ambapo mpaka muda huu kuna wananchi zaidi 25 wamejeruhiwa kwa sababu ya kupokea kichapo kwa sababu ya amri ya John Heche.

Umefika muda John Heche aseme wao kama CHADEMA hawawataki Watanzania waende kusikiliza hoja zao zilizokufa, ili waepukane na vichapo kwa sababu ya amri anazozitoa maana kama ni hivyo sasa kila anayekwenda kwenye huo mkutano hana uhakika kama atarudi na Ngeu au kupata ulemavu.
Heche ni pimbi mmoja tu , hivi kuna Mtanzania anatarajia kuongozwa na Heche? jamaa anajioana kama yeye ni magufuli amekuwa resurrected SMH.
 
Licha ya kupewa kibali cha kufanyia mikutano ya hadhara kwa sharti la kulinda amani, lakini Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ameonekana kushindwa kutumia uhuru aliopewa na sasa ameanza kuamuru vijana wake kuanza kuwapiga wananchi wanaokwenda kuwasikiliza ajenda zao mfu za No Reforms No Election.

Kwanza hali ya hatari ya ilianza kuonekana kwenye mkutano uliofanyika Singida, ambapo Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche aliwatishia wananchi waliokua na mawazo kinzani kuhusu Hoja yao ya No Reforms No Election na Heche alitamka kauli ambayo ingeweza kuleta maafa makubwa mno kama Jeshi la Polisi lisingekuwepo maeneo ya karibu pale.

Heche alitamka maneno yafutayo "Nyie vijana hapo mnajifanya mnapinga No Reforms No Election, nitawatuma vijana wetu wawafinye hadi mpotee"

Kauli yake hii ilizua taharuki kubwa kwenye mkutano wake wa Singida ambao kwa asilimia kubwa wananchi walikua hawataki ajenda ya No Reforms No Election mpaka pale Polisi walipoingilia kati kunusuru zahma kutokea.

Lakini Chizi huwa hasahau jalala lake, leo tena akiwa mkoani Tabora John Heche ameamuru vijana wake, kuwapiga wananchi waliokwenda kusikiliza hoja zisizo na uhalisia za kuzuia Uchaguzi Mkuu, akaagiza vijana wake kuwarushia mawe wananchi, ambapo mpaka muda huu kuna wananchi zaidi 25 wamejeruhiwa kwa sababu ya kupokea kichapo kwa sababu ya amri ya John Heche.

Umefika muda John Heche aseme wao kama CHADEMA hawawataki Watanzania waende kusikiliza hoja zao zilizokufa, ili waepukane na vichapo kwa sababu ya amri anazozitoa maana kama ni hivyo sasa kila anayekwenda kwenye huo mkutano hana uhakika kama atarudi na Ngeu au kupata ulemavu.
Unafiki, umbea, uzandiki na roho mbaya vinakusaidia nini wakati ni vijana wenu mmewatuma walete vurugu, watadhibitiwa tu hakuna mjinga zaidi yao wao wenyewe
 
Licha ya kupewa kibali cha kufanyia mikutano ya hadhara kwa sharti la kulinda amani, lakini Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ameonekana kushindwa kutumia uhuru aliopewa na sasa ameanza kuamuru vijana wake kuanza kuwapiga wananchi wanaokwenda kuwasikiliza ajenda zao mfu za No Reforms No Election.

Kwanza hali ya hatari ya ilianza kuonekana kwenye mkutano uliofanyika Singida, ambapo Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche aliwatishia wananchi waliokua na mawazo kinzani kuhusu Hoja yao ya No Reforms No Election na Heche alitamka kauli ambayo ingeweza kuleta maafa makubwa mno kama Jeshi la Polisi lisingekuwepo maeneo ya karibu pale.

Heche alitamka maneno yafutayo "Nyie vijana hapo mnajifanya mnapinga No Reforms No Election, nitawatuma vijana wetu wawafinye hadi mpotee"

Kauli yake hii ilizua taharuki kubwa kwenye mkutano wake wa Singida ambao kwa asilimia kubwa wananchi walikua hawataki ajenda ya No Reforms No Election mpaka pale Polisi walipoingilia kati kunusuru zahma kutokea.

Lakini Chizi huwa hasahau jalala lake, leo tena akiwa mkoani Tabora John Heche ameamuru vijana wake, kuwapiga wananchi waliokwenda kusikiliza hoja zisizo na uhalisia za kuzuia Uchaguzi Mkuu, akaagiza vijana wake kuwarushia mawe wananchi, ambapo mpaka muda huu kuna wananchi zaidi 25 wamejeruhiwa kwa sababu ya kupokea kichapo kwa sababu ya amri ya John Heche.

Umefika muda John Heche aseme wao kama CHADEMA hawawataki Watanzania waende kusikiliza hoja zao zilizokufa, ili waepukane na vichapo kwa sababu ya amri anazozitoa maana kama ni hivyo sasa kila anayekwenda kwenye huo mkutano hana uhakika kama atarudi na Ngeu au kupata ulemavu.
Mmefeli vibaya sana. Hizi propaganda zenu zingewafaa wale wazee wa miaka 80 huko, sasa hivi wananchi tunajielewe.
 
Licha ya kupewa kibali cha kufanyia mikutano ya hadhara kwa sharti la kulinda amani, lakini Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ameonekana kushindwa kutumia uhuru aliopewa na sasa ameanza kuamuru vijana wake kuanza kuwapiga wananchi wanaokwenda kuwasikiliza ajenda zao mfu za No Reforms No Election.

Kwanza hali ya hatari ya ilianza kuonekana kwenye mkutano uliofanyika Singida, ambapo Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche aliwatishia wananchi waliokua na mawazo kinzani kuhusu Hoja yao ya No Reforms No Election na Heche alitamka kauli ambayo ingeweza kuleta maafa makubwa mno kama Jeshi la Polisi lisingekuwepo maeneo ya karibu pale.

Heche alitamka maneno yafutayo "Nyie vijana hapo mnajifanya mnapinga No Reforms No Election, nitawatuma vijana wetu wawafinye hadi mpotee"

Kauli yake hii ilizua taharuki kubwa kwenye mkutano wake wa Singida ambao kwa asilimia kubwa wananchi walikua hawataki ajenda ya No Reforms No Election mpaka pale Polisi walipoingilia kati kunusuru zahma kutokea.

Lakini Chizi huwa hasahau jalala lake, leo tena akiwa mkoani Tabora John Heche ameamuru vijana wake, kuwapiga wananchi waliokwenda kusikiliza hoja zisizo na uhalisia za kuzuia Uchaguzi Mkuu, akaagiza vijana wake kuwarushia mawe wananchi, ambapo mpaka muda huu kuna wananchi zaidi 25 wamejeruhiwa kwa sababu ya kupokea kichapo kwa sababu ya amri ya John Heche.

Umefika muda John Heche aseme wao kama CHADEMA hawawataki Watanzania waende kusikiliza hoja zao zilizokufa, ili waepukane na vichapo kwa sababu ya amri anazozitoa maana kama ni hivyo sasa kila anayekwenda kwenye huo mkutano hana uhakika kama atarudi na Ngeu au kupata ulemavu.
Nitakupaka mafuta ayo matako nikudinye unye mavi debe mbili shubamit
Mtoto wa single mother akili zako zina mavi
 
Nadhani walopokea kipigo ni vijana waliolipwa na ccm kuvuruga mikutano ya no reforms no election. Hao vijana Acha wachapwe maana NRNE ni kwa maslahi mapana ya taifa
Ninyi ndio mnasababisha watu wengi wenye akili timamu washindwe kuwaunga mkono,kama hamtaki watu wenye mawazo tofauti na nyinyi wasije kwenye mikutano yenu muwe mnasema tu.
Sio kujinasibu Chama Cha demokrasia ilihali demokrasia yenyewe hamuitaki hata kuisikia!

Hapo hamjamiliki hata mgambo lakini tayari mnaona ni sahihi Kiongozi wenu kuhamasisha vurugu na vipigo kwa watu wengine kwa sababu tu hawawaungi mkono!!
Kama ambavyo mna Uhuru wa kuvamia page za watu na kuandika slogan zenu,pia watu wengine Wana Uhuru wa Kwenda popote pale ndani ya Nchi hii na kutoa maoni Yao pia Ikiwa hawavunji Sheria!
Ndio gharama ya Demokrasia hiyo.

Ninyi ni Chama Cha upinzani,na mnashindwa kuvumilia upinzani?
Siku ikitokea mkawa ni Chama Tawala,tutaishije?
 
Licha ya kupewa kibali cha kufanyia mikutano ya hadhara kwa sharti la kulinda amani, lakini Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ameonekana kushindwa kutumia uhuru aliopewa na sasa ameanza kuamuru vijana wake kuanza kuwapiga wananchi wanaokwenda kuwasikiliza ajenda zao mfu za No Reforms No Election.

Kwanza hali ya hatari ya ilianza kuonekana kwenye mkutano uliofanyika Singida, ambapo Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche aliwatishia wananchi waliokua na mawazo kinzani kuhusu Hoja yao ya No Reforms No Election na Heche alitamka kauli ambayo ingeweza kuleta maafa makubwa mno kama Jeshi la Polisi lisingekuwepo maeneo ya karibu pale.

Heche alitamka maneno yafutayo "Nyie vijana hapo mnajifanya mnapinga No Reforms No Election, nitawatuma vijana wetu wawafinye hadi mpotee"

Kauli yake hii ilizua taharuki kubwa kwenye mkutano wake wa Singida ambao kwa asilimia kubwa wananchi walikua hawataki ajenda ya No Reforms No Election mpaka pale Polisi walipoingilia kati kunusuru zahma kutokea.

Lakini Chizi huwa hasahau jalala lake, leo tena akiwa mkoani Tabora John Heche ameamuru vijana wake, kuwapiga wananchi waliokwenda kusikiliza hoja zisizo na uhalisia za kuzuia Uchaguzi Mkuu, akaagiza vijana wake kuwarushia mawe wananchi, ambapo mpaka muda huu kuna wananchi zaidi 25 wamejeruhiwa kwa sababu ya kupokea kichapo kwa sababu ya amri ya John Heche.

Umefika muda John Heche aseme wao kama CHADEMA hawawataki Watanzania waende kusikiliza hoja zao zilizokufa, ili waepukane na vichapo kwa sababu ya amri anazozitoa maana kama ni hivyo sasa kila anayekwenda kwenye huo mkutano hana uhakika kama atarudi na Ngeu au kupata ulemavu.
Kajisafishe umetoka chooni bila kutawaza.
 
Back
Top Bottom