Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 18,293
- 27,331
Aman iwe nanyi wakuu katika bwana
Husika na kichwa cha habali hapo juu
Habali kamili
Yule kiuongo machachali aliyejiunga na simba akitokea azam john bocco ameitwa upes na haraka haraka sana south africa kwenda kuongeza nguvu katika timu ya tanzania hiyo imetokea baada ya mushambuliaj mmoja aitwaye mubarrak kushindwa kabisa kwendana na hali ya hewa ya south ambayo ni ya baridi kinoma hivyo atakaa bench na nafas yake anaenda kuchukua huyo john bocco ambaye ni sumu yaan hutema sumu zaid ya koboko
Kwa safu ya ushambuliaji ya sasa yaan bocco na magur hao jamaa wa zambia wajiandae kulimia meno maana hao wasukuma huwa wanapiga booll kama hawana akili vile, lakin tu nawaomba wasiwe wanaombana pas kwa kisukuma watawachanganya wenzao akina msuva na kichuya ambao ni wa morogoro
Nawasilisha
LONDON BABY
Husika na kichwa cha habali hapo juu
Habali kamili
Yule kiuongo machachali aliyejiunga na simba akitokea azam john bocco ameitwa upes na haraka haraka sana south africa kwenda kuongeza nguvu katika timu ya tanzania hiyo imetokea baada ya mushambuliaj mmoja aitwaye mubarrak kushindwa kabisa kwendana na hali ya hewa ya south ambayo ni ya baridi kinoma hivyo atakaa bench na nafas yake anaenda kuchukua huyo john bocco ambaye ni sumu yaan hutema sumu zaid ya koboko
Kwa safu ya ushambuliaji ya sasa yaan bocco na magur hao jamaa wa zambia wajiandae kulimia meno maana hao wasukuma huwa wanapiga booll kama hawana akili vile, lakin tu nawaomba wasiwe wanaombana pas kwa kisukuma watawachanganya wenzao akina msuva na kichuya ambao ni wa morogoro
Nawasilisha
LONDON BABY