John Bocco asaini Simba miaka miwili!!!

Wonderful

JF-Expert Member
Apr 8, 2015
7,348
5,977
John Bocco ni mali ya Simba,. Taarifa zinaeleza amesaini miaka miwili katika kikosi cha Simba.

Taarifa zinaeleza mkataba huo ni wa awali na inaonekana Bocco ameamua kutua Simba baada ya makubaliano yake na Azam baada ya mkataba wake kwisha, kuonekana unakwenda kombo.

Hata hivyo, Bocco amekuwa hapokei simu ili kulithibitisha hilo suala ingawa hivi karibuni alikanusha kila kilichoandikwa kwenye akaunti yake ya Instagram kuhusiana na kwamba ana mpango wa kuondoka Azam.

Alidai akaunti yake ilikuwa imetekwa lakini hali halisi ilionyesha kwamba hakuwa amezungumza lolote.

Afisa Habari wa Azam FC, Jaffar Iddi yeye alisema walikuwa katika mazungumzo na Bocco baada ya mkataba wake kufikia tamati.
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images.jpg
 

Attachments

  • C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images.jpg
    C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images.jpg
    8.4 KB · Views: 212
John Bocco ni mali ya Simba,. Taarifa zinaeleza amesaini miaka miwili katika kikosi cha Simba.

Taarifa zinaeleza mkataba huo ni wa awali na inaonekana Bocco ameamua kutua Simba baada ya makubaliano yake na Azam baada ya mkataba wake kwisha, kuonekana unakwenda kombo.

Hata hivyo, Bocco amekuwa hapokei simu ili kulithibitisha hilo suala ingawa hivi karibuni alikanusha kila kilichoandikwa kwenye akaunti yake ya Instagram kuhusiana na kwamba ana mpango wa kuondoka Azam.

Alidai akaunti yake ilikuwa imetekwa lakini hali halisi ilionyesha kwamba hakuwa amezungumza lolote.

Afisa Habari wa Azam FC, Jaffar Iddi yeye alisema walikuwa katika mazungumzo na Bocco baada ya mkataba wake kufikia tamati.
Dah, katika watu siwapendi huyu jamaa, kachangia kwa kiasi kikubwa sana kutukosesha ubingwa huyu, kila Azam ikicheza na Simba jamaa lazima afunge tena magolibya ushindi, kama kweli afadhari hatatufunga tena, karibu uraiani, huku simba na yanga mambo ni shaghala bagala ila soka bado linachezwa!
 
Bongo bwana...Ila Bocco alikua akiniboa sana kwenye mechi ya Taifa stars hakua na msaada kabisa alafu makocha walikua wanampenda.

Kiujumla namwona anakiwa cha chini bora Mimi nyakati zangu
 
John Bocco ni mali ya Simba,. Taarifa zinaeleza amesaini miaka miwili katika kikosi cha Simba.

Taarifa zinaeleza mkataba huo ni wa awali na inaonekana Bocco ameamua kutua Simba baada ya makubaliano yake na Azam baada ya mkataba wake kwisha, kuonekana unakwenda kombo.

Hata hivyo, Bocco amekuwa hapokei simu ili kulithibitisha hilo suala ingawa hivi karibuni alikanusha kila kilichoandikwa kwenye akaunti yake ya Instagram kuhusiana na kwamba ana mpango wa kuondoka Azam.

Alidai akaunti yake ilikuwa imetekwa lakini hali halisi ilionyesha kwamba hakuwa amezungumza lolote.

Afisa Habari wa Azam FC, Jaffar Iddi yeye alisema walikuwa katika mazungumzo na Bocco baada ya mkataba wake kufikia tamati.View attachment 514154
Vipi points zenu za mezani mmepewa?
 


Kuna watu wanaitwa Ma Mafia kipindi cha Usajili, na hao sio wengine bali ni Mabingwa wapya wa LigiKuu bara ...

Kaeni mkao wa kula mtakapo ona Kichwa cha habari kimeanza chini na Ujumbe umekaa nafasi ya kichwa cha habari...
 

Kuna watu wanaitwa Ma Mafia kipindi cha Usajili, na hao sio wengine bali ni Mabingwa wapya wa LigiKuu bara ...

Kaeni mkao wa kula mtakapo ona Kichwa cha habari kimeanza chini na Ujumbe umekaa nafasi ya kichwa cha habari...
Vipi? Malinzi keshafanya yake?
 
Acheni aveva afanye Yake! Tunampa pia shukrani za dhati sisi wana Jangwani kwa kutupatia njia nyepesi za kutwaa ndio kwa kipindi chake chote akiwa Madarakani.

Go Go Aveva, wanajangwani tuko nyuma yako!
Inawezekana Yanga wamepandikiza kitu simba , naanza kupata mwanga , na ndio maana Tarimba kaingia kwa njia ya Sportpesa , tukamtosa mwanetu MO .
 
Aveva hakika amechoka , hivi huyu babu ni wa nini simba ?
Kwa taarifa JOHN BOCCO bado kinda. Urefu usikupe shida.



Raphael Bocco
Personal information
Full name John Raphael Bocco
Date of birth 5 August 1995 (age 22)
Place of birth Dar es Salaam, Tanzania
Height 1.90 m (6 ft 3 in)[1]
Playing position Striker
Club information
Current team
Azam
Senior career*
Years Team Apps (Gls)
2008– Azam
National team‡
2009– Tanzania 54 (14)[/color]

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom