Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
wenye vigezo jaribuni bahati hapa
Mshahara wao mdogo sana kwa kazi hiyo ya web development waangalie tena aiseee!!!Mshahara mdogo sana kwa hiyo kazi,labda ingekuwa part time,waboreshe mafao au waseme parttime itakuwa mzuka!..
Tudokezee wengine tuna simu. ni nafasi gani na qualification
Mshahara mdogo sana kwa hiyo kazi,labda ingekuwa part time,waboreshe mafao au waseme parttime itakuwa mzuka!..
mie kazi yangu ya kwanza nilianza na salary 200,000
unajua siku ya kwanza kupata kazi na unatamani kuacha siku hiyo hiyo.
nikapata uzoefu then Off I go ule uzoefu ukanisaidia mbele ya safari
mie kazi yangu ya kwanza nilianza na salary 200,000
unajua siku ya kwanza kupata kazi na unatamani kuacha siku hiyo hiyo.
nikapata uzoefu then Off I go ule uzoefu ukanisaidia mbele ya safari
200,000 nini watu tumeanza na 50,000/ siku hiyo napata ya kazi rasmi ya gross 340,000/= ilikua kama muujiza.
mwisho wa siku ilipanda hadi 1,650,000/= mwajiri huyohuyo.
Tukirudi kwenye tangazo, kuna watu wako very talented na hii fani iko kwenye damu. Akiendelea kushikilia mwenye degree kwa huo mshahara atakua anaaajiri kila siku. Kuna vijana wana certificate tu au diploma ila wanapiga code utafikiri wametoka silicon valley kwa Bill Gates.
ndio hivo mtu huwezi kukaa hapo muda fulani....unaendelea kusaka opportunities nyingine
I think ata consider na hao wengine na sio kukomaa na wenye digrii tu mie nilichofanya
ni kuleta humu watakaoona linawafaa waombe
mie kazi yangu ya kwanza nilianza na salary 200,000
unajua siku ya kwanza kupata kazi na unatamani kuacha siku hiyo hiyo.
nikapata uzoefu then Off I go ule uzoefu ukanisaidia mbele ya safari