Moment of silent
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 1,054
- 1,782
Tanzania bara inapata faida zaidi juu ya Muungano hususan linapokuja swala la misaada. Hujui kuwa Muungano wenyewe upo huku kabisa.Ni jini
Mkuu nitajie faida ya muungano kwa sasa mkuu
Tanzania bara inapata faida zaidi juu ya Muungano hususan linapokuja swala la misaada. Hujui kuwa Muungano wenyewe upo huku kabisa.Ni jini
Mkuu nitajie faida ya muungano kwa sasa mkuu
Sio muungano tu, bali uhaba wa ajira umekuwa mkubwa kutokana na serikali kutoa ajira chache kwa wahitimuMuungano tulionao ni muungano wa ajabu kwa watu waliosoma
rudi darasani
- Must be a Tanzanian Citizen. Wazanzibar wanaruhusiwa kuapply?
Tanroads Pwani??Wakuu vp tanroads-Arusha bado hawajaitisha interview??
Tanroads ArushaTanroads Pwani??
Tangazo la uzi huu tunaocommentTanroads Pwani??
Tanroad sijui huaga wanatumia mfumo gan kuajir Ila watu wengi wanalalamika hawaitwi kwenye interview wala kuskia interview inafanyia lkn utaskia watu wapo Kazin.Tanroads Pwani??
Yani ni utakuta tu watu wapo kazini daaa,,,nchi ngumu hiiTanroad sijui huaga wanatumia mfumo gan kuajir Ila watu wengi wanalalamika hawaitwi kwenye interview wala kuskia interview inafanyia lkn utaskia watu wapo Kazin.
Applicants wa Pwani na Arusha tupeana update
Kwa hali hiyo hatari kweli kweli, ila mie tanroads katika kuomba maombi yangu yote kupitia hizi posta au kwa Email wameniita interview mara moja tu, tena nlituma kwa email alaf Geita ila sikwenda.Yani ni utakuta tu watu wapo kazini daaa,,,nchi ngumu hii
Au kuna yeyote amepigiwa simu wakuu?Wakuuu vip tanroad pwani na arusha bado hawajaita aisee
Mie mwenyewe nazisubiria kwa hamu, hadi saa hv naona kimya kwangu sijui kwa wengine tu.Au kuna yeyote amepigiwa simu wakuu?