Ndugai yuko katika shinikizo kubwa la kichama na kiserikali kwa kauli yake aliyoitoa bungeni(dharau zenu kazifanyeni huko huko serikalini)
Kauli yake imesababisha kutolewa vitisho na wakuu wake wa chama na ata watu wa serikali kwamba amemdharau rais ambaye ni mwenyekiti wake na pia kuitukana serikali