Job Interview.

Job Interview.

Salamander

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
28,536
Reaction score
15,751
Jamaa kajiandaa vya kutosha siku ya kufanyiwa usaili, maana kwa muda mrefu anatafuta kazi bila mafanikio.
Ile anaingia tu akaambiwa," wait please! ".
Akajibu," 75 kilogram sir ".

Ha ha ha, chezea interview wewe.
 
Jamaa kajiandaa vya kutosha siku ya kufanyiwa usaili, maana kwa muda mrefu anatafuta kazi bila mafanikio.
Ile anaingia tu akaambiwa," wait please! ".
Akajibu," 75 kilogram sir ".

Ha ha ha, chezea interview wewe.

Hahha presha hizi.
 
interview co mchezo.,.,unawez ukapanic bila kupenda.,
 
Back
Top Bottom