Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
Jamaa kajiandaa vya kutosha siku ya kufanyiwa usaili, maana kwa muda mrefu anatafuta kazi bila mafanikio.
Ile anaingia tu akaambiwa," wait please! ".
Akajibu," 75 kilogram sir ".
Ha ha ha, chezea interview wewe.
Ile anaingia tu akaambiwa," wait please! ".
Akajibu," 75 kilogram sir ".
Ha ha ha, chezea interview wewe.