A anyingisye.maseta New Member Apr 5, 2012 4 0 Apr 6, 2012 #1 Jamani nina hamu ya kufanya kazi nje ya tanzania, what am i supposed to do?
ntamaholo JF-Expert Member Aug 30, 2011 12,906 6,909 Apr 6, 2012 #3 UTA WEB YA UN utakuta nyingi za kutosha
Going Concern JF-Expert Member Jul 25, 2011 1,071 1,211 Apr 6, 2012 #4 unapenda thn hujuwi chakufanya? jua kwanza unatakiwa ufanye nini ndo upende.
Munru JF-Expert Member Oct 19, 2010 1,340 664 Apr 6, 2012 #5 kupige kikombe loliondo kwa babu, then mashirika yatakuwa yana apply kwako
Kituko JF-Expert Member Jan 12, 2009 9,555 9,330 Apr 6, 2012 #6 anyingisye.maseta said: Jamani nina hamu ya kufanya kazi nje ya tanzania, what am i supposed to do? Click to expand... Una utaalamu na kazi gani?
anyingisye.maseta said: Jamani nina hamu ya kufanya kazi nje ya tanzania, what am i supposed to do? Click to expand... Una utaalamu na kazi gani?
Jeff JF-Expert Member Sep 26, 2009 1,293 199 Apr 6, 2012 #7 Hata mimi natafuta sana popote dunian niko tayari kwenda kufanya kaz,yeyote mwenye kufahamu zaid anijuze jaman,nimesoma human nutrition
Hata mimi natafuta sana popote dunian niko tayari kwenda kufanya kaz,yeyote mwenye kufahamu zaid anijuze jaman,nimesoma human nutrition
chumvichumvi JF-Expert Member May 6, 2010 1,206 304 Apr 7, 2012 #9 kunanini uko nje mbona kila m2 nje nje
A anyingisye.maseta New Member Apr 5, 2012 4 0 Apr 9, 2012 Thread starter #10 au labda kama kuna mtu ana details na nchi kama za Rwanda, Botswana, na southAfrica kuhusu job
Red Giant JF-Expert Member Mar 9, 2012 15,658 20,887 Apr 9, 2012 #11 unaacha rasilimali huku anaenda kuwa manamba, kaa tupige hel!
G Godwishes JF-Expert Member Aug 26, 2011 640 165 Apr 9, 2012 #12 mwenyewe nna usongo kudaaadeek.Anaejua jaman jaman jaman.
Red Giant JF-Expert Member Mar 9, 2012 15,658 20,887 Apr 9, 2012 #13 jamani msiwape ushauri hawa madeserter
Wazo Langu JF-Expert Member Mar 21, 2011 1,381 841 Apr 9, 2012 #14 Hata mimi nataka... Tembelea NAOMBAKAZI.COM au web ya UN