Job Application FAILED

Nimeufuata, picha imekubari finally
ilikuwa 400x481 kwa 37kb imeingia vizuri tu.

Sasa nimekuwa na 95% nikajaribu kuapply ikasema nina referees 2, nimeongeza 1 sasa inagoma tena sijui shida nini labda sababu deadline ni leo 25/4
Ni kazi za MDAs/LDAs category ya Msanifu majengo.

Kuna yeyote aliyeapply hizi kazi??
 
Mbona uliambiwa kuwa hata ukifungua akaunti nyingine huwezi kuitumia maada namba ya nida ni moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…