Arch OAK
Member
- Jun 2, 2012
- 25
- 26
- Thread starter
-
- #21
Nimeufuata, picha imekubari finally@Arch OAK fuata ushauri wa Youngblood kuwa na masters haikuzuii kuomba Kazi ya undergraduate. Narudia Tena kuwa na masters haikuzuii kuomba Kazi ya bachelor Nina ushahidi juu ya hili ndio maana naweka msisitizo. Pia jua kwamba nida ikishatumika kufungua account moja haiwezi kufungua account nyingine.
Tatu, tatizo ulilonalo ni aina ya picha unayojaribu kuiweka haipo compatible na system ya PSRS. So nenda google type image resolution then ifanyie adjustments accordingly
Sasa nimekuwa na 95% nikajaribu kuapply ikasema nina referees 2, nimeongeza 1 sasa inagoma tena sijui shida nini labda sababu deadline ni leo 25/4
Ni kazi za MDAs/LDAs category ya Msanifu majengo.
Kuna yeyote aliyeapply hizi kazi??