Wanataka degree na mimi ninayo na masters pia
database ishakariri taarifa zako za mwanzo,inabidi uicheet ili ikubaliOh nilifikiria hivi pia sasa nimetoa ipo degree tu na bado inagoma.
Mchawi NIDA mkuu, hapo utadakwaNgoja nijaribu kuifungua account mpya kwa email nyingine
pole sana mzeemasters pia
Wewe ulishakuwa na qualifications za Masters kamwe hata ukiondoa vyeti hutobadili qualification kamwe…..vyeti ukishaweka vinatengeneza qualification ambayo data base ina kariri na hata ukiondoa vyeti lakini qualification ina baki! Uwezi badili sifa ulizinazi za elimu ambazo umeandika kwenye portalOh nilifikiria hivi pia sasa nimetoa ipo degree tu na bado inagoma.
Umewezaje kutoa?Oh nilifikiria hivi pia sasa nimetoa ipo degree tu na bado inagoma.
Ok, ni hivi kabla sijakuwa verified na TCU niliweka tu level ya form 6 nikasave account kama mtu ambaye sina elimu ya juu na nikaiacha hivyo. Baada sasa ya kuverify vyeti nikarudi tena ku-update education ili niweke level ya juu hapo ndipo nikaitoa hiyo masters kwa kujua nitakosa kazi kwa hiyo level niache tu undergraduate.Umewezaje kutoa?
@Arch OAK fuata ushauri wa Youngblood kuwa na masters haikuzuii kuomba Kazi ya undergraduate. Narudia Tena kuwa na masters haikuzuii kuomba Kazi ya bachelor Nina ushahidi juu ya hili ndio maana naweka msisitizo. Pia jua kwamba nida ikishatumika kufungua account moja haiwezi kufungua account nyingine.Kuupload picha hakikisha picha ina
Kb chini ya 500
Na size 400×400
Kama picha ni kubwa ingia online zipi site mbali mbali kwa ajili ya ku resize picha.
Mkuu, ishu yako inatatulika tu. WAPIGIE SIMU, waombe wafute cheti cha Masters. wengi wamefanya hivyo na mambo yamekuwa poa.Update:
Nimefungua Account mpya kila kitu kiko sawa mpaka picha, sasa tatizo lililojitokeza ni kuwa ile ya mwanzo nilishaweka NIDA number hii ya pili siwezi tumia number ile ile.
Acha tukomae na Private sectors tu.
Shukran kwa michango yenu.View attachment 2599014