Heparin
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 156
- 584
Leo Mei 21, 2024, JKT Tanzania itacheza mchezo wake dhidi ya Azam FC kwenye uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni.
KIla timu inapambana kutetea nafasi yake lakini zaidi Azam wakitafuta kusalia kwenya nafasi ya pili ili washiriki michuano ya kimataifa msimu ujao.
Yetu macho, tukutane saa 10:00 Jioni.
Kikosi cha Azam kilichoanza
Kikosi cha JKT Tanzania