JKT 2018 updates

Wote mnà taka kwenda jkt??? Umesha andaa eneo la kwenda kufanya usaili??? Umesha fahamu kila mkoa wilaya wana chukua vijana wangapi??? Kwa nafasi za jkt??? Mme jiandaaje??
 
Kwa hiyo form four yako kama umezidi miaka 21 sahau kwenda kwa utawala huu nenda mafunzo ya mgambo kwa sababu naona una dalili zote za umaskini
Tumia busara kumjibuMTU
Kwa hiyo form four yako kama umezidi miaka 21 sahau kwenda kwa utawala huu nenda mafunzo ya mgambo kwa sababu naona una dalili zote za umaskini
Acha unanga...
 
Kuna dogo mmoja yupo jkt ndo mkataba unaisha mwezi wa 11 naogopa hata kumpigia simu ataona namuenjoy tu!
 
Jkt ya sasa sio kama zaman.sahv ukienda ujue 70 lazima wakose ajira.tunacho hofia tukiwaajiri tutawalipa nn
 
mkuu mkataba unaweza umeongezwa kwa op magu miez sita mingine nmepata ronja kutok kwa jamaa yangu yupo chomboni
Usidanganyike suala la mkataba bado hawajapewa halafu wewe mkuu nini maana ya Ronja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…