TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
JF Senior Expert Member
Join Date : 1st November 2010
Posts : 777
Thanks 23 Thanked 123 Times in 61 Posts
Rep Power : 22
Ushauri: Jk jiunge na twitter!
Tweeting ni njia inayotumika sana sasa hivi kupeleka ujumbe na kupokea ujumbe kutoka kwa watu, Hapo zamani ilikua ngumu sana kuwasiliana na wanasiasa wakubwa au celebrities lakini sasa, thanks to technology, ni kitu rahisi tu.
Si lazima kukaa katika PC, with well protected smart phone, Rais wetu anaweza akawa anawasiliana nasi moja kwa moja kupitia twitter, Kama ataamua kufanya hivi hata upotoshaji wa habari utapungua kwa sababu kila mtu atakua na uwezo wa kuingia na kuona kile JK anasema yeye mwenyewe (sio kupitia kwa wasaidizi wake).
Wapo marais kadhaa wanatumia twitter. Barack Obama amekua akitumia twitter, hii imemsogeza karibu sana na raia wa nchi yake, unapata habari fasta kuliko hata kabla hazijatangazwa na CNN, pia wananchi wanaweza kumwandikia moja kwa moja katika twitter account yake.
Zamani ilikua ngumu sana kuwasiliana na celebrities mbalimbali lakini leo ni rahisi tu 'ukim-tweet' rio ferdinand, au michael owen, au wayne rooney au Antonio Valencia anapata msg yako moja kwa moja nae anaweza kuku-RT, of course si mara zote unapata RT bse watu wengi wanawafatilia na wanawa-tweet lakini at least unaweza kuwasiliana nao moja kw moja.
Please our Lovely President join twitter ili tuwe tunapata updates live bila chenga kutoka hapo magogoni
Ubarikiwe!
Sure nilipost last week, Seems JK ni msikivu, On a serious note, kama ataitumia twitter fresh itarahisisha sana kupata feedback moja kwa moja kutoka kwetu na sie tutakua tunapata updates live kutoka kwake, sio hadi zichakachuliwe na wasaidizi wake. Wapo viongozi wengi sana wanatumia twitter sasa hivi, britain kuna kampeni ya kumshawishi prince william ajoin twitter, nimeona updates mara kwa mara katika account ya JK, GREAT MOVE!huu ushauri kapewa toka hapa hapa JF / jamani JF kweli ni kiboko, wamemwambia JK kuhusu twiter jus last week tu
Mmmh! Sidhani kama ni muda wote anakuwa kwenye intanet, ni namna tu ya kupangilia ratiba!HIVI HUYU MZEE MUDA WAKE WOTE KWENYE INTERNET ANAFANYA KAZI SAA NGAPI????WASWAHILI BWANA,LABDA MUDA MWINGI ANAKUWA KWENYE PORN FOTOS:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty:
Nimekuwa mbali na jamvi kwa muda najua watoto wapya wamezaliwa na wengine wameondoka.Toka jana usiku profile mpya ya JK Twitter imekuwa inaongezeka kwa kasi,katika usiku mmoja amepata followers zaidi ya mia moja.
Gonga hapa;
Note:Nasubiri maoni nifanye conclusion kama jamvi lina kizazi kipya,cha zamani au mchanganyiko.
Karibuni Tandale.Ukifika sokoni ulizia Super Fruits Kiosk.
mimi huwa nasemaga utumbio na rev anasema CrapHIVI HUYU MZEE MUDA WAKE WOTE KWENYE INTERNET ANAFANYA KAZI SAA NGAPI????WASWAHILI BWANA,LABDA MUDA MWINGI ANAKUWA KWENYE PORN FOTOS:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty:
uko nyuma sana dogo, wewe ni mshamba na hauko exposed...........Uwa situmii mitandao ya Kisharobaro..........
it will be verified soon!Lol mbona sio verified .
HIVI HUYU MZEE MUDA WAKE WOTE KWENYE INTERNET ANAFANYA KAZI SAA NGAPI????WASWAHILI BWANA,LABDA MUDA MWINGI ANAKUWA KWENYE PORN FOTOS:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty:
duh! wewe ni TOPTHINKER? kutumia twitter haimaanishi kuwa anashinda kwenye internet masaa yote, wala kujua yanayoendelea kwenye mtandao haimaanishi anashinda muda wote ktk internet, with nowadays advanced PDAs and Smartphones ni rahisi tu kuwa na simu nzuriinayokua procted vizuri na akawa anatweet on the move.
Hebu fikikiri ule muda anasafiri kwenda Bagamoyo kama yuko connected si anatupia tu tweet mbili tatu nasi tupate kujua yanayojiri, au anaingia JF kucheck check michakato ilivo, hii itamsaidia kuwa close na wananchi, unajua hizi taarifa za kuletewa mezani tu sio poa, nyingine inabidi awe anazipata straight from street na internet is the real deal for this.