usawa wa kulia
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 454
- 154
Kinachotokea CCM saivi chanzo ni JK, CCM kuna kutoelewana kwa asilimia kubwa haijawahi kutokea toka chama kiundwe.
1. JK uliruhusu bunge maalum la katiba kuwe na wawakilishi wa WACHAWI/WAGANGA WA KIENYEJI ila ukawanyima muwakilishi MAKANISA YA KIROHO, walikuomba sana ukawakebehi na kuwadharau viongozi hao wa kilokole, Wakaona solutuon ni kufunga na kumlilia Mungu baba, na maombi yao yalikuwa tunawachanganya lugha CCM Wasielewane kama kwenye mnara wa BABEL!
2. Kuna mgogoro uliingia na askofu Kakobe japo TANESCO ndo walihusika akakuandikia barua ila ukamdharau, Akakujibu kwa barua kuwa wataomba maombi ya kuwachanganya lugha msielewane ndani ya CCM.
Maombi haya yamefanikiwa hata juzi tuliona kwenye vikao vya NEC na bado hali hyo inaendelea.
Siku nyingine ujifunze kutowadharau watumishi wa Mungu.
1. JK uliruhusu bunge maalum la katiba kuwe na wawakilishi wa WACHAWI/WAGANGA WA KIENYEJI ila ukawanyima muwakilishi MAKANISA YA KIROHO, walikuomba sana ukawakebehi na kuwadharau viongozi hao wa kilokole, Wakaona solutuon ni kufunga na kumlilia Mungu baba, na maombi yao yalikuwa tunawachanganya lugha CCM Wasielewane kama kwenye mnara wa BABEL!
2. Kuna mgogoro uliingia na askofu Kakobe japo TANESCO ndo walihusika akakuandikia barua ila ukamdharau, Akakujibu kwa barua kuwa wataomba maombi ya kuwachanganya lugha msielewane ndani ya CCM.
Maombi haya yamefanikiwa hata juzi tuliona kwenye vikao vya NEC na bado hali hyo inaendelea.
Siku nyingine ujifunze kutowadharau watumishi wa Mungu.