mzee wa inshu
Member
- Jan 25, 2011
- 49
- 0
Ndugu JK, nadhani sasa ni wakati muafaka kwako kutumia madaraka uliyo kabidhiwa na wananchi kama mkuu wa nchi, kiongozi wa serikali na amiri jeshi mkuu wa majeshi yote.
Tunatarajia,kwa hili la gongolamboto waziri wa ulinzi na mkuu wako wa majeshi hutaruhusu kwa mara nyingine waendelee kuvutavuta sharubu zako.
Ninaamini uwezo, nguvu na sababu za kuwachukulia hatua wazembe hawa unazo ila tatizo ni kwamba nia huna!
Mh, inakuwaje wanauwa wananchi kisha wanatutunishia misuli ya kwamba hawawezi kujiuzuru? Hawa watu wanajivunia nini,kiburi wanakipata wapi? kama si dharau kwa wananchi ambao ndio wnaokufanya wewe uitwe rais?
Kama kweli wananchi walikupa sauti ya kuongea na na nguvu za kutenda kwa niaba yao, mbona unawasaliti sasa? Unatufanya tuamini kuwa yawezekana ni kweli kwamba urais ulijipa mwenyewe na si watanzania ndio mana unafanya mambo kivyako kwa masilahi yako na rafiki zako na sio watanzania. Au ndo mtindo wa kusitiriana?
Wang'oe hao watu kwanza ndio tuanze kuongea biashara nyingine na wewe la sivo hatukuelewi, na hueleweki kabisa mkuu!
KIMYA KINGI..........................!
Tunatarajia,kwa hili la gongolamboto waziri wa ulinzi na mkuu wako wa majeshi hutaruhusu kwa mara nyingine waendelee kuvutavuta sharubu zako.
Ninaamini uwezo, nguvu na sababu za kuwachukulia hatua wazembe hawa unazo ila tatizo ni kwamba nia huna!
Mh, inakuwaje wanauwa wananchi kisha wanatutunishia misuli ya kwamba hawawezi kujiuzuru? Hawa watu wanajivunia nini,kiburi wanakipata wapi? kama si dharau kwa wananchi ambao ndio wnaokufanya wewe uitwe rais?
Kama kweli wananchi walikupa sauti ya kuongea na na nguvu za kutenda kwa niaba yao, mbona unawasaliti sasa? Unatufanya tuamini kuwa yawezekana ni kweli kwamba urais ulijipa mwenyewe na si watanzania ndio mana unafanya mambo kivyako kwa masilahi yako na rafiki zako na sio watanzania. Au ndo mtindo wa kusitiriana?
Wang'oe hao watu kwanza ndio tuanze kuongea biashara nyingine na wewe la sivo hatukuelewi, na hueleweki kabisa mkuu!
KIMYA KINGI..........................!