MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,200
Rais wetu Jakaya Mrisho Kikwete ni mpenda wananchi wake penye shida na raha yeye hujumuika.
1. Hujiunga na wananchi michezoni kushangilia
2. Huwa karibu na wananchi mabondeni wakati wa mafuriko
3. Huthubutu kuchukua maamuzi ya haraka na ya busara kama vile kuhamisha wananchi toka bonde la jangwani na kuwagawia viwanja Mabwepande
4. Majuzi na jana ameshirikiana na watz katika kuomboleza na kumzika Mheshimiwa Regia Mtema
Sifa za JK ni nyingi ziwezi kuzimaliza kwa leo, MUNGU akuzidishie hamasa ya kuwaongoza watanzania. Mungu tusaidie!
1. Hujiunga na wananchi michezoni kushangilia
2. Huwa karibu na wananchi mabondeni wakati wa mafuriko
3. Huthubutu kuchukua maamuzi ya haraka na ya busara kama vile kuhamisha wananchi toka bonde la jangwani na kuwagawia viwanja Mabwepande
4. Majuzi na jana ameshirikiana na watz katika kuomboleza na kumzika Mheshimiwa Regia Mtema
Sifa za JK ni nyingi ziwezi kuzimaliza kwa leo, MUNGU akuzidishie hamasa ya kuwaongoza watanzania. Mungu tusaidie!