JK na PM wake wapingana kuhusu Kipengele cha dini kwenye Sensa

Status
Not open for further replies.
Hivi nyie wagalatia, kikiwekwa kipengele cha DINI mtakosa /pungukiwa nn???

Hicho kipengele kinakusaidia nini wewe? Kinakuongezea mlo mezani? Kinakusaidia kusaidia ktk huduma za afya kwako na familia yako? Kinakusaidia kupata elimu? Kweli dunia ya sasa tunazungumzia ujinga wa maisha binafsi? Dini yako inamnufaisha vipi jirani yako hasiyefuata imani yako? Miafrika ni mijinga sana!
 
Wafuasi wa yatima(Muddy) hamuishi kudeka deka kila kukicha. Mfumo kristo unaouona wewe mleta uzi unataka kusema Rais wako JK hajauona na nani anauongoza huo mfumo kristo kama siyo JK na Dr.Bilal ambao mpo ktk imani moja?. Mnatia hata aibu, kama wakristo wanadanganya kuwa wapo wengi,mbona nyie peke yenu ndo mpo vimbele mbele kuliko Hindus, Wapagani n.k?
 
Kama kuna jambo linalo onyesha kwamba siyo kwamba tuna utawala dhaifu bali utawala mfu ni hii issue ya kipuuzi! Utadhani serikali haina wasemaji,tena watu wasomi ambao wangewaalika hawa wapuuzi hata ktk mijadala ya wazi wakawaaibisha na ujinga huu ukaisha. Watu wanaigeuza serikali kama taasisi ya dini yao,wakati kuna watu wanalipwa kwa kodi zetu wako kimya!!
 
Zoezi la kuhesabiwa hatutashiriki lakini zoezi la kuhesabu wengine tutashiriki.

Umasikini MBAYA sana, sasa kama hautaki kuhesabiwa, KIMBELE FRONT cha nini kuhesabu wengine? Heri umaskini wa mali, lakini wengi wenu ambao hamtaki kuhesabiwa mna UMASIKINI WA AKILI!!!! SHAME ON YOU!!!!!
 
Hii serikali mnayoiongelea kuwa inashabikia ukristu inaongozwa na nani? Tangu lini Jakaya, Shein, Gharib, au Said wamekuwa wakristu? Hebu tutafute agenda nyingine yenye tija kwa nchi yetu. Sensa hii sio ya mwisho, ijayo hawa wanaoiongoza kama ni wakristu hawatakuwepo tutaweka swala la dini kwa kujinafasi. Tumechoka na hoja za udini wenu.
 
Tujue idadi yetu kisha tupange mipango ya maendeleo yetu na kudai uwiano katika kupewa fursa za maendeleo.
ndiyo maana wengine tulisemaga waislamu wanatakiwa wawekwe kwenye kundi maalumu kama wanawake/vikongwe/walemavu nk...nitapeleka maoni yangu kwenye jopo la katiba mpya waislamu wapewe viti maalumu bungeni sambamba na kutengewa nafasi maalumu kwenye kila taasisi ya serikali, vyuo,shule nk
 
Hicho kipengele kinakusaidia nini wewe? Kinakuongezea mlo mezani? Kinakusaidia kusaidia ktk huduma za afya kwako na familia yako? Kinakusaidia kupata elimu? Kweli dunia ya sasa tunazungumzia ujinga wa maisha binafsi? Dini yako inamnufaisha vipi jirani yako hasiyefuata imani yako? Miafrika ni mijinga sana!

Chonde chonde kaka, tuombe radhi, nani kakwambia Waafrika wote tunatumia masaburi kufikiri? Ni wachache tu ambao kwao DINI ndio maisha yao, wakati walioleta hawana mpango nazo kabisa. Ni ujinga kujadili udini wakati WAARABU na WAZUNGU walileta dini ili watutawale kirahisi na kutunyonya na kutuacha masikini. Ni mtu mwenye akili za bata anayefikiri DINI itamfikisha mbinguni.....pu..mba..fu sana!!!!
 
Waislamu wako wengi wenye elimu na wameelimika. Walioelimika hawana akili mgando kama ulizozitoa kwenye hoja ya sensa. Walioelimika wapo wengi tu tena ni viongozi wa nchi hii wengi wao kwa sasa kuliko hata wakristo lakini hawana tena mawazo ya kipuuzi kama mlizokuwa nazo wenzao ambao hamna elimu au mmesoma lakini akili zenu zimezibwa na mafuta ya dini hamwezi kuona vitu kwa uhalisia uliokuwa tofauti na dini. Wa kwanza anaitwa Jakaya Mrisho Kikwete, ndiye Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wa pili anaitwa Dr. Gharib Bilal, ndiye Makamu wa Rais, wa tatu anaitwa Dr. Mohamed Shein, ndiye Rais wa Zanzibar, wa nne ni jaji mkuu wa nchi hii, wa tano ni makamu wa Rais wa kwanza na wa pili wa Zanzibar. Wengine ni mawaziri kwenye wizara mbalimbali naa hata mkuu wa tume ya sensa naye ni muislamu pia.
Hebu wewe unayejiita msomi wa kiislamu niambie huo mfumo ukristo unapita wapi wakati viongozi wakuu wa serikali ni waislamu? Manake kwa wakristo kiongozi mkuu serikalini ni waziri mkuu Mizengo Pinda. Ina maana Pinda kawazidi kete hao viongozi walio waislamu wenzenu?
Siamini kuwa sensa inapaswa kuhesabu watu kwa dini zao kwani hiyo inaweza kufanywa na madhehebu yenyewe. Kila dini iweke kitabu kwenye msikiti au kanisa na kama ina malengo ya kupata watu wake ni kuwaandika majina kisha kujumlisha idadi yao nchi nzima. Kama hili dogo linawashinda mpaka mnatishia kususia sensa mtaweza lipi?

Uko sahihi Ndugu yangu. Hata ukijenga hoja bado mtoa mada hawezi kukuelewa, cause tayari ana chuki, na kila kitu utakachosema atakitafsiri kwa misingi ya udini. Usidhani haujui, anajua analofanya. anaelewa. kuhusu viongozi wakuu kuwa ni waislam, anajua. Kuhusu kuwa chombo kikubwa kama NECTA hakiwezi kuongozwa kwa misingi ya udini na kukandamiza watu wa dini nyingine, anajua. Kuhusu kuwa Memorandum Of Understanding ( MOU) kati ya serikali na Taasisi za dini au watu binafsi hazihusu ujenzi ila ni gnarama za uendeshaji pale inapobainika kuwa serikali haina hospitali katika wilaya fulani na ikaonekana mtu binafsi au taasisi fulani inayo, anajua, sasa najiuliza msingi wake wa udini unaanzia wapi ? mfumo huo anaouita MK unaanzia wapi ? unapenya wapi ikiwa ngome yote imeshikwa na watu wa dini yake. Ni vyema umemtajia baadhi, lakini naamini kamwe hawezi kukuelewa. hata ukiangalia data anazosema zinatofautiana, kiutafiti au kimisingi ya hesabu za makadirio hazitofautiani. mmoja kasema kati ya 40 - 45%, mwingine kasema 44% kuna tofauti gani kihesabu ? mmoja kasema between 35-40% mwingine kasema 35% kuna tofauti gani. La msingi zaidi DATA HIZO ZA UDINI HAZISAIDII MAENDELEO. Kule kwa wakristo wana sensa zao kila mwaka, na sisi waislam tunaweza kupitisha sensa zetu misikitini au kwenye vitongoji tukajijua tuko wangapi ? JK alituambia hivi " zile MOU siyo tu kwaajili ya wakristo na taasisi zao, hata kama kuna waislam na taasisi zao, wanaweza kuomba serikali iwasaidie kuendesha Hospitali hizo" Issue ni kwamba, sisi waislam tuna hospitali ngapi zenye hadhi ya kupewa ruzuku hizo ? unataka serikali ijenge Hospitali, then itukabidhi sisi waislam na kutusaidia kuiendesha ? Kwanini serikali isijenge hospitali ya serikali na kuiendesha yenyewe ? kisa eti kuogopa MK ? Mh, MIMI NITAHESABIWA TU !
 
Chonde chonde kaka, tuombe radhi, nani kakwambia Waafrika wote tunatumia masaburi kufikiri? Ni wachache tu ambao kwao DINI ndio maisha yao, wakati walioleta hawana mpango nazo kabisa. Ni ujinga kujadili udini wakati WAARABU na WAZUNGU walileta dini ili watutawale kirahisi na kutunyonya na kutuacha masikini. Ni mtu mwenye akili za bata anayefikiri DINI itamfikisha mbinguni.....pu..mba..fu sana!!!!

Mkuu hapo kwenye red unaonesha ni jinsi gani ulivyo na hasira na hawa jamaa!

Hivi huwa wanafundishwa nini huko kwao? Yaani wazungu na waarabu walaaniwe kutuletea dini za kutugombanisha. Ni bora tungebaki na akina MULUNGU, NYAMUHANGA, RUWA, OMUKAMA, N.K. Maana jamaa wametufanya tumekuwa mazuzu ile mbaya! Ona wajukuu wa Mwarabu wanavyotaka kujilipua kwa ajili ya sensa! Mimi nasema Waislam ni wachache kuliko Wakristu, Period!!! Sasa mnataka nini?

Halafu mtu anayewasemea wenzake ananiudhi sana eti hatuhesabiwi wakati wenzao wamejazana kwenye kuhesabu sensa!! Waone. Na kule Shinyanga walishafanya maandamano wanasema lazima wahesabiwe maana madai ya hao wengine hayana msingi wowote wa Qu'ran Tumb...ff!!!
 
Islam wengi kuliko Wakristo nchini Tanzania,then what next? kuna faida au hasara gani kwa wingi wa waislam na uchache wa Wakristo?hebu tuelimi sheni enyi msioishiwa na malalamiko na lawama juu ya wengine.

Ndo ujiulize, hivi hao tbc, ofisi ya waziri mkuu na watu wa utalii wanapozitangaza hizo data wanapata faida gani??? ulivykuwa kipofu, badala ya kuwauliza kwanza waliotoa data, wewe unakurupuka kuwashangaa waislamu. NINA WASIWASI NA UWEZO WA AKILI YAKO KUPAMBANUA MAMBO.
 
Chonde chonde kaka, tuombe radhi, nani kakwambia Waafrika wote tunatumia masaburi kufikiri? Ni wachache tu ambao kwao DINI ndio maisha yao, wakati walioleta hawana mpango nazo kabisa. Ni ujinga kujadili udini wakati WAARABU na WAZUNGU walileta dini ili watutawale kirahisi na kutunyonya na kutuacha masikini. Ni mtu mwenye akili za bata anayefikiri DINI itamfikisha mbinguni.....pu..mba..fu sana!!!!

Wakuu samahani kwa kauli yangu Miafrika mijinga sana. Wakati mwingine hasira inaweza sababisha kutamka maneno yasiyopendeza. Lakini mkuu wangu hizi akili za kitumwa za baadhi yetu,zitaendelea dhalilisha bara letu la Afrika kama binadamu wa hovyo ktk uso wa dunia hii.
 
Waislamu wako wengi wenye elimu na wameelimika. Walioelimika hawana akili mgando kama ulizozitoa kwenye hoja ya sensa. Walioelimika wapo wengi tu tena ni viongozi wa nchi hii wengi wao kwa sasa kuliko hata wakristo lakini hawana tena mawazo ya kipuuzi kama mlizokuwa nazo wenzao ambao hamna elimu au mmesoma lakini akili zenu zimezibwa na mafuta ya dini hamwezi kuona vitu kwa uhalisia uliokuwa tofauti na dini. Wa kwanza anaitwa Jakaya Mrisho Kikwete, ndiye Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wa pili anaitwa Dr. Gharib Bilal, ndiye Makamu wa Rais, wa tatu anaitwa Dr. Mohamed Shein, ndiye Rais wa Zanzibar, wa nne ni jaji mkuu wa nchi hii, wa tano ni makamu wa Rais wa kwanza na wa pili wa Zanzibar. Wengine ni mawaziri kwenye wizara mbalimbali naa hata mkuu wa tume ya sensa naye ni muislamu pia.
Hebu wewe unayejiita msomi wa kiislamu niambie huo mfumo ukristo unapita wapi wakati viongozi wakuu wa serikali ni waislamu? Manake kwa wakristo kiongozi mkuu serikalini ni waziri mkuu Mizengo Pinda. Ina maana Pinda kawazidi kete hao viongozi walio waislamu wenzenu?
Siamini kuwa sensa inapaswa kuhesabu watu kwa dini zao kwani hiyo inaweza kufanywa na madhehebu yenyewe. Kila dini iweke kitabu kwenye msikiti au kanisa na kama ina malengo ya kupata watu wake ni kuwaandika majina kisha kujumlisha idadi yao nchi nzima. Kama hili dogo linawashinda mpaka mnatishia kususia sensa mtaweza lipi?

Kabla hujaanza kubwabwaja, hebu kwanza jiulize, kwa nini kuna baadhi ya taasisi zinatumia takwimu za idadi ya watu kwa imani zao za kidini??? na kwa bahati nzuri au mbaya taasisi hizo sio za waislamu. hata kama wamepata hizo data huko makanisani kwao kwa nini wanawataja na waislamu kwenye mazungumzo yao??? nionavyo mimi, waislamu kwenye hili wametumia busara sana, wao hawakutaka kuhesabu kimyakimya halafu watoe takwimu zenye utata kama zinazotolewa na hizo taasisi hapo juu kwa sasa, WAISLAMU WAMEIOMBA SERIKALI NDO IFANYE ZOEZI HILO KWA UWAZI KABISA MCHANA KWEUPE ILI PASIWEPO NA MAMBO YA KUTOKUAMINIANA, SASA SHIDA IPO WAPI HAPO??? halafu NINI MANTIKI YA KUHESABU NYUMBA ZA IBADA???
 
Kipengele cha dini kishafutwa tangu 1967, na hakimo pia hata Kenya. Hizi dini zote mbili zimeletwa toka nje na hazina uhusiano na Utanzania wetu na hata maendeleo ya nchi yetu hata tukijua kuwa hizi dini zina wanachama wangapi, after all, haya yanaweza kufanywa na dini zenyewe ili kujua idadi yao. Siye tusiyekuwa katika dini zenu hizo za vitabu hatuoni mantiki ya kulumbana, la maana dini zote mbili fanyeni wenyewe sensa yenu mtuletee idadi yenu ingawa sijui itatusaidia nini na kwa tija ipi, kama makanisa jengeni, kama misikiti jengeni kadiri mnavyotaka. Imefikia wakaati tuaache ushabiki usio na maana hasa ukizingatia dini zote hizi zimeletwa tu. Na japa ndipo naungana na Karl Marx aliyesema "Dini zinapumbaza" na kweli, ukipumbazwa na dini, basi hali itakuwa kama hii malumbano hata katika masuala ambayo kila dini ingeweza kufanya yenyewe kujua idadi ya wanafuata hizo dini ili kupanga mipango yao ya kidini.

ni bora kupumbazwa na dini ya Mwenyezi Mungu muumba mbingu na ardhi, kuliko kupumbazwa na upumbavu wa kiumbe mwenzio Karl Max ambaye naye alikufa na kuoza kama tutakavyokufa mimi na wewe. miongoni mwa wajinga nawe umo, unamlinganisha karl max na Mwenyezi Mungu, hakika ZUZU ni ZUZU TU.
 
HAtuhesabiwi waislam hao bakwata wahesabiwe sisi watuache

Hivi ustaadhi, unadhani usipohesabiwa unamkomoa nani?
Kwa kweli wa-Tz wengine wanachekesha sana na kupindukia.

Naomba nikuulize ustaadhi, mkiwa katika nyumba halafu mpishi akasema nipeni idadi yenu ili apike chakula kinacholingana nanyi, nawe ukasema msinihesabu nami na kikapikwa chakula kwa idadi pungufu ya mtu mmoja ambaye ni wewe na kusababisha usishibe utakuwa umemkomoa mpishi au wewe mwenyewe?

Na swali jingine ni, je wewe unawawakilisha waislaam wangapi wa Tz, ambao sio Bakwata hata kujipa mamlaka ya kuwasemea?
 
Hicho kipengele kinakusaidia nini wewe? Kinakuongezea mlo mezani? Kinakusaidia kusaidia ktk huduma za afya kwako na familia yako? Kinakusaidia kupata elimu? Kweli dunia ya sasa tunazungumzia ujinga wa maisha binafsi? Dini yako inamnufaisha vipi jirani yako hasiyefuata imani yako? Miafrika ni mijinga sana!

acha kuyabeba mambo ki-ujumlajumla, si ajabu wewe mwafrika kweli ni mjinga sana. hebu hata wewe jiulize, hao waliotoa hizo takwimu hapo juu kwa kipengele cha dini, wananufaika nazo vipi??? ukipata majibu, ndo utajua umuhimu wa kipengele cha dini kwenye sensa. cha ajabu waliotoa hizo sio waislamu.
 
Wafuasi wa yatima(Muddy) hamuishi kudeka deka kila kukicha. Mfumo kristo unaouona wewe mleta uzi unataka kusema Rais wako JK hajauona na nani anauongoza huo mfumo kristo kama siyo JK na Dr.Bilal ambao mpo ktk imani moja?. Mnatia hata aibu, kama wakristo wanadanganya kuwa wapo wengi,mbona nyie peke yenu ndo mpo vimbele mbele kuliko Hindus, Wapagani n.k?

kama hindus na wapagani hawaguswi na hawajaamua kusema, sio juu ya waislamu kuwasemea, ila wao waislamu wameamua kusema yanayowahusu wao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom