Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,691
- 5,041
Kwanini ameshika tumbo?
Kwanini ameshika tumbo?
Anawaonyesha bado anamfungo sita..Je wao wamefunga mfungo sita?
Jamaa wamewekewa juice ya mapera nusu glass kwa kila mmoja.Jamani, I stand to be corrected lakini hili Beach Shirt shirt alilovaa JK kama nilishawahi kuliona Wal-mart mwaka jana au mwaka huu (not exactly sure). Ni brand ya "George" na yanauzwa Wal-mart kila summer for 10 bucks or so. Kama ni kweli basi JK kumbe hana makubwa na hahitaji suti za Savile Row kama anaweza kuvaa shati la Wal-mart la dola 10 kwenye mkutano na Masheikh.
<br />Jamani, I stand to be corrected lakini hili Beach Shirt shirt alilovaa JK kama nilishawahi kuliona Wal-mart mwaka jana au mwaka huu (not exactly sure). Ni brand ya "George" na yanauzwa Wal-mart kila summer for 10 bucks or so. Kama ni kweli basi JK kumbe hana makubwa na hahitaji suti za Savile Row kama anaweza kuvaa shati la Wal-mart la dola 10 kwenye mkutano na Masheikh.<br />
<br />
<img src="http://3.bp.blogspot.com/-JUDBl811pNQ/TmZUk5qlA0I/AAAAAAABuP0/RhiFOMw-enU/s1600/GO9G6293.JPG" border="0" alt="" />
Jamaa wamewekewa juice ya mapera nusu glass kwa kila mmoja.
Alafu sheikh aliyevaa yeboyebo nyeupe kamaliza juice yake fasta, cjui alizani kuna nyongeza!hahahah nlikuwa sijaona hiyo lolz
Kwanini ameshika tumbo?
Jamani, I stand to be corrected lakini hili Beach Shirt shirt alilovaa JK kama nilishawahi kuliona Wal-mart mwaka jana au mwaka huu (not exactly sure). Ni brand ya "George" na yanauzwa Wal-mart kila summer for 10 bucks or so. Kama ni kweli basi JK kumbe hana makubwa na hahitaji suti za Savile Row kama anaweza kuvaa shati la Wal-mart la dola 10 kwenye mkutano na Masheikh.