MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Wana jf
Baada ya kuangalia sana bunge jinsi wabunge walivyokuwa wakisema mbovu juu ya ubadhirifu wa serikali na upole wa rais wetu A.K.A Baba rz.katika kuchambua riport za hesabu za serikali toka kwa Mrema.Zitto na Cheyo. Hii inaonyesha wazi kuwa serikali yote mbovu na inastahili mabadiliko ya kweli.Wabunge wa ccm wameanza kuanzisha hoja ya kuitana na kuisema serikali ya jk pembeni.
SWALI.KAMA KAWAIDA LIKITOKEA JAMBO LINALOISHIKA VIBAYA SERIKALI BABA RIZ HUONGEA NA WAZEE WA JIJI.
JE? HAPA NAPO IMEKAAJE?
ATAONGEA NA WAZEE WA JIJI??
TUSEMEZANE KWA HOJA
Baada ya kuangalia sana bunge jinsi wabunge walivyokuwa wakisema mbovu juu ya ubadhirifu wa serikali na upole wa rais wetu A.K.A Baba rz.katika kuchambua riport za hesabu za serikali toka kwa Mrema.Zitto na Cheyo. Hii inaonyesha wazi kuwa serikali yote mbovu na inastahili mabadiliko ya kweli.Wabunge wa ccm wameanza kuanzisha hoja ya kuitana na kuisema serikali ya jk pembeni.
SWALI.KAMA KAWAIDA LIKITOKEA JAMBO LINALOISHIKA VIBAYA SERIKALI BABA RIZ HUONGEA NA WAZEE WA JIJI.
JE? HAPA NAPO IMEKAAJE?
ATAONGEA NA WAZEE WA JIJI??
TUSEMEZANE KWA HOJA