Ibinzamata
Member
- Nov 16, 2007
- 12
- 0
CHADEMA walipofungua mkutano wao wa kampeni za uchaguzi 2010 pale Jangwani, walitamka kinaga ubaga kuwa wakwapuaji wakubwa wa pesa za Taifa ili kupitia "Benki yetu ya kati" ni Jakaya Kikwete, Rostam Aziz na Edward Lowasa. Kwamba walijipenyeza na kufanikiwa kumshawishi Ben Mkapa ashiriki wizi huu wa kihistoria.
CHADEMA walienda mbele wakazungumzia madudu mengine waliyofanywa na vinara hao wa CCM, kama vile Meremeta, TANGOLD, CIS, IPTL, DeepGreen, Buzwagi, nk.
Cha ajabu sasa, hajatokea kiongozi hata mmoja kati yao kukanusha haya au kujitahidi kusafisha jina lake kwani CHADEMA wameyachafua kweli hadharani. Kinachoshangaza, wanakimbilia kulalamika, CHADEMA inachochea vurugu, CHADEMA inavunja katiba kwa kuitisha maandamano ya kuing'oa serikali na ulalamishi kibao.
KWANINI KIKWETE, LOWASA ROSTAM AZIZ msiipeleke CHADEMA MAHAKAMANI??? KWANINI. NENDENI MAHAKAMANI ILI SIE TUWEZE KUUJUA UZUSHI NA UCHOCHEZI WA CHADEMA
CHADEMA walienda mbele wakazungumzia madudu mengine waliyofanywa na vinara hao wa CCM, kama vile Meremeta, TANGOLD, CIS, IPTL, DeepGreen, Buzwagi, nk.
Cha ajabu sasa, hajatokea kiongozi hata mmoja kati yao kukanusha haya au kujitahidi kusafisha jina lake kwani CHADEMA wameyachafua kweli hadharani. Kinachoshangaza, wanakimbilia kulalamika, CHADEMA inachochea vurugu, CHADEMA inavunja katiba kwa kuitisha maandamano ya kuing'oa serikali na ulalamishi kibao.
KWANINI KIKWETE, LOWASA ROSTAM AZIZ msiipeleke CHADEMA MAHAKAMANI??? KWANINI. NENDENI MAHAKAMANI ILI SIE TUWEZE KUUJUA UZUSHI NA UCHOCHEZI WA CHADEMA