Ongezeko la watu siyo tattizo, tatizo ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi. Watu milioni 45 ni wengi hadi kukosa vifaa na dawa hospitalini? kuna nchi zina watu milioni 70 na dawa zipo na kila kitu kipo hospitalini. Madini tunayo, ardhi tunayo, misitu, mabonde, gesi kila aina ya rasilimali mhimu tunayo halafu eti tupo wengi ndiyo maana sekta ya afya inapata changamoto?!!! ninachoka sana.