JK azungumza na wabunge wa CCM Dodoma

JK azungumza na wabunge wa CCM Dodoma

PhD

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2009
Posts
4,910
Reaction score
4,461
muda huu rais kikwete ameingia bungeni dodoma kuanza mazungumzo na wabunge wa ccm kabla ya kuvunja bunge leo jioni, taarifa ya kinachozungumzwa italetwa hapa keep tuned.
 
muda huu rais kikwete ameingia bungeni dodoma kuanza mazungumzo na wabunge wa ccm kabla ya kuvunja bunge leo jioni, taarifa ya kinachozungumzwa italetwa hapa keep tuned.

kwani alikuwa anaenda kuongea na wabunge wa CCM tu? sio kwamba angehutubia bunge lote?
 
Ni kawaida yao. hivyo sio ajabu ila ni ubanguzi sana kuona wanabaka demokrasia
 
Back
Top Bottom