kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,054
- 170
baada ya misukosuko mingi,maandamano ya kumtaka ajiuzulu,mfumuko wa bei na hali mbaya ya uchumi.hatimaye mkulu anatimiza mwaka mmoja wa ngwe ya pili ya uongozi wake.
with nothing to show for it. What a shame!