njiwamanga Member Joined Oct 21, 2010 Posts 35 Reaction score 3 Apr 11, 2011 #1 Amechokoza kujivua magamba ndani ya ccm wakat moto wa katiba tayar umewashwa.Je ataweza kumudu?Au nchi itamshinda?Ana ubavu?
Amechokoza kujivua magamba ndani ya ccm wakat moto wa katiba tayar umewashwa.Je ataweza kumudu?Au nchi itamshinda?Ana ubavu?