JK atambua umuhimu wa bunge , Jairo stop

rammy

New Member
Aug 24, 2011
1
0
jairo asimamishwa kazi na rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania ikiwa ni baada ya siku moja kurejrshwa ofisin na katibu kiongoz mh philemon luhanjo. namshukuru mh rais kwa kutambua umuhimu wa bunge kama muhimili muhimu wenye utaratibu wake na sheria zake za msingi, mh luhanjo alileta ujiran kazin ,jairo na luhanjo ni majiran pale morogoro store oystbay me nadhan walijadiliana wakamua luhanjo achukue nafas ya bunge kumrejesha ofisin bila tamko la bunge tukufu. sasa ntafurah kuona ktb kiongoz aseme maamuz ya kumrudisha jairo aliyatoa wapi, je kwa ris?au ni yeye binafsi,
 
Rais dhaifu,kwa nini hadi mambo yachache bungeni ndo ajifanye anachukua hatua,hivi ni kusema hana mawasiliano na Katibu Mkuu Kiongozi?Anapenda kuwadhalilisha wasaidizi wake,na hii ndo inafanya serikali yake iyumbe na kulegea!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom