JK arejea nchini!



Matatizo yetu yamemshinda bado kushobokea ya wenzake. Analooooooo


 

I couldn't agree more; haihitaji PhD kujua kwamba tunapoteza a lot of valuable manhours kwa jinsi hii...
 
baba mwenye nyumba akirudi lazima apokelewe

baba gani anaenda kuzurura, kupiga soga, kucheza bao na kuombaomba ili hali familia yake ipo nyaka nyaka na mbaya zaidi baba gani anakimbia msiba nyumbani kwake anaenda kwa majilani? - msiba ukiisha anarudi home na mbaya zaidi eti apokelewe na kuchukua riporti kwa kaka wakubwa wa familia - duh.


huyu dingi wetu ni kiboko, bila kufanya kitu familia hii inateketea, hii familia inaweza kuwa ya mazezeta ohoo..
 
Kwa kweli sioni sababu ya viongozi wote kwenda kumpokea mkuu airport. Kuna umuhiomu wa kubadilika watu wafanye kazi. Lowasa alishawahi gombana kutoa amri wanafunzi wasitolewe madarasani kwenda kuhani kiongozi wa serikali badala ya kusoma. Hiyo ni kazi ya mkuu wa mkoa na wilaya.
 
ndo kazi ya bilali kwani ana kazi ipi nyingine...
 
Natumai huko alikoenda pia alitembeza bakuli la misaada,mwenye data atuambie kapata ahadi gani ya msaada?
 
Na mbona Mizengo Pinda ameweka mikono kwa adabu zote kulikoni? Halafu mapokezi haya mpaka mkuu wa majeshi nchini nae yuko hapo? Tobaaa!:A S 13:

hivi dar ni baridi kiasi cha Bilali na Pinda kuvaa mablanketi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…