Elections 2010 Jk aogopa tucta kumobilise wafanyakazi, shimiwi yapigwa stop


Tena basi wanapiga makofi kwa mbwembwe then kesho wanalalamika ooh watoto hawatutumii pesa za matumizi sikuhizi ..... Wanasahau kuwa watoto wao ndio wafanyakazi wanaodai nyongeza za mishahara..... na wao wanashangilia kwa serikali kuto ongeza....!!
 
Tutashukuru wakitupa updates fedha zilizotumika so far ni kiasi gani na zimebaki kiasi gani na zilizobaki watazitumia kufanya nini?
Unaweza kuta CCM wameanza kuishiwa ela so wanasaka kwa udi na uvumba bse this time hamna za EPA
 
Tutashukuru wakitupa updates fedha zilizotumika so far ni kiasi gani na zimebaki kiasi gani na zilizobaki watazitumia kufanya nini?
Unaweza kuta CCM wameanza kuishiwa ela so wanasaka kwa udi na uvumba bse this time hamna za EPA

This is my point no EPA this year
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…