Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 83
Jamani, hivi JK amesomea uchumi kweli, mbona hana akili? siku zote akiongelea mambo ya kiuchumi huwa anaboronga mbele za watu na kututilia aibu. Sasa jana anaposema kuwa kwenye soko la Africa, ame include transferability ya masoko ya mitaji, halafu akaeleza kuwa, sasa wakenya au watanzania wanaweza wakaleta mitaji hapa nchini au sisi tukapeleka kule kwao, akiwa anamaanisha kuwa, ni mtaji kama wa kuanzishia biashara hivi, yaani chukua fungu la pesa la kuanzishia biashara nenda nalo kenya kaanze biashara. huo ndo uelewa wake kuhusu masoko ya mitaji.
Mimi pamoja na kwamba sio mwanauchumi, naelewa sana masoko ya mitaji. nilifikiri mkuu wetu angeongelea vizuri kuhusu mambo ya share/stocks, bonds za selikali pamoja na corporate bonds, futures and securities zingine, pamoja na kuunganisha Dar stock exchange na zile za Nairobi na Kampala etc. yeye akasema unachukua mtaji na kwenda kuanzisha biashara kenya ndo biashara ya mitaji hiyo, na anaongea mbele ya kadamnasi, ya wana east africa..hahaha. hivi wenzangu mlimwelewa huyu jamaa?
Mimi pamoja na kwamba sio mwanauchumi, naelewa sana masoko ya mitaji. nilifikiri mkuu wetu angeongelea vizuri kuhusu mambo ya share/stocks, bonds za selikali pamoja na corporate bonds, futures and securities zingine, pamoja na kuunganisha Dar stock exchange na zile za Nairobi na Kampala etc. yeye akasema unachukua mtaji na kwenda kuanzisha biashara kenya ndo biashara ya mitaji hiyo, na anaongea mbele ya kadamnasi, ya wana east africa..hahaha. hivi wenzangu mlimwelewa huyu jamaa?