Mwanagenzi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2006
- 741
- 281
Napendekezai JK amteue Tundu Lissu kuwa DPP ili kuleta msukumo mpya katika utawala bora na na tasnia nzima ya sheria na haki. Hii itasaidia kauli mbiu ya Ari, Nguvu na Kasi mpya kaika utoaji wa haki...
Pia itasaidia UKAWA kurudi bungeni kuendelea na mchakato wa Katiba mpya.
Pia itasaidia UKAWA kurudi bungeni kuendelea na mchakato wa Katiba mpya.