K Kiranja JF-Expert Member May 19, 2007 751 336 Jan 2, 2008 #1 Jamani nauliza, JK amerudi tena porini Arusha kuendelea na likizo, kuna nini? au ndio anapika mabadiliko? anayatoa lini? au ndi kuponda raha?
Jamani nauliza, JK amerudi tena porini Arusha kuendelea na likizo, kuna nini? au ndio anapika mabadiliko? anayatoa lini? au ndi kuponda raha?
C Chuma JF-Expert Member Dec 25, 2006 1,324 43 Jan 2, 2008 #2 kama anapondea Home TZ hakuna MATATA....unless kiranja unataka ujue mambo ambayo si yako....Kama mabadiliko yapo just cool yanini ku-speculate?
kama anapondea Home TZ hakuna MATATA....unless kiranja unataka ujue mambo ambayo si yako....Kama mabadiliko yapo just cool yanini ku-speculate?
Gembe JF-Expert Member Sep 25, 2007 2,483 164 Jan 2, 2008 #3 Hivi bado mnamfatilia Muungwana,Mie nilishaacha.cha kufanya ni kupanga mikakati ya kuhakisha 2010 hapewi tena awamu nyingine,Mambo kama Kenya tu..
Hivi bado mnamfatilia Muungwana,Mie nilishaacha.cha kufanya ni kupanga mikakati ya kuhakisha 2010 hapewi tena awamu nyingine,Mambo kama Kenya tu..